• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Kituo chenye Ofisi 5 Kuzinduliwa

Sunday 18th, May 2025
@Makao makuu ya Wilaya

Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji(W) URAMBO kwa kushirikiana na Ofisi ya Mbunge wa Jimbo la URAMBO pamoja na ofisi za  MKURABITA, wanatarajia kuzindua kituo cha ofisi za Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge (MKURABITA) hivi karibuni.

kituo hicho kitakuwa na ofisi za

  • TRA
  • NMB
  • BRELA
  • AFISA BIASHARA
  • SEKTA BINAFSI



MKURABITA ni Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania. Ni Mpango ulioanzishwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpango huu unasimamiwa na Ofisi ya Rais – Ikulu.
Chimbuko la Mpango huu ni mwelekeo wa Sera za Chama cha Mapinduzi (CCM) miaka ya tisini katika kumilikisha uchumi kwa Watanzania ili kuwawezesha kutumia mtaji uliofichika katika rasilimali na biashara zao na hatimaye waweze kushiriki katika mchakato wa uchumi rasmi unaotawaliwa na sheria.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba Watanzania Walio wengi wanamiliki rasilimali na kuendesha ambazo hazina uhai wa kisheria katika sekta isiyo rasmi. Mtaji uliofichika katika rasilimali na biashara hizo hautambuliki. Hivyo wamiliki wake hawajumuiki kikamilifu katika uchumi rasmi. Hivyo hawanufaiki na fursa zilizopo pia hawachangii kikamilifu katika kukuza uchumi wa nchi.

Kwa hiyo urasimishaji wa rasilimali na biashara unakusudiwa kuzipa rasilimali na biashara za Watanzania walio wengi uhai wa kisheria ambao utawezesha kuwa na sifa tatu muhimu kama zifuatazo zinazowawezesha kukuza mitaji na kuongeza pato.


  • Taratibu za kisheria na kiuchumi zinazoongeza tija, zinazowezesha kusajili aina mbalimbali za biashara, kutenganisha mali binafsi na mali za biashara pamoja na kuongeza ufanisi wa wafanyakazi.
  • Uwezo wa kisheria wa kufanya biashara katika soko pana lenye mtandao mpana zaidi ya ndugu, jamaa na majirani.
  • Mfumo rasmi wa umiliki mali ambao huipa mali utambulisho maalum na kuipa mali uwezo wa kuhamishika katika soko pana kulingana na fursa zilizopo pamoja na kuongeza thamani ya mali.

MKURABITA ni sehemu ya Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini Tanzania (MKUKUTA) na Mkakati wa Kuondoa Umasikini Zanzibar (MKUZA), ukilenga kuwawezesha walengwa kutumia rasilimali na biashara zao zilizo rasimishwa katika kujipatia mitaji, soko pana na fursa zingine zinazopatikana katika sekta rasmi na hivyo kupunguza umaskini wa kipato.

 

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ASHIRIKIANA NA MAAFISA KUCHANGIA VIFAA VYA WANAFUNZI WA UMITASHUMTA NA UMISSETA

    May 13, 2025
  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.