• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Kata ya Kapilula

UTANGULIZI

Kata ya kapilula ni miongoni mwa Kata 18 zinazounda Wilaya ya  Urambo, ambapo  ipo upande wa mashariki mwa makao makuu ya Wilaya kwa umbali wa kilomita 2.5.Pia  kwa upande wa  mashariki imepakana na Kata ya Itundu magharibi inapakana na Kata ya Muugano upande wa kaskazini inapatikama na Kata za Urambo na Kiyungi na upande wa kusini inapakana na kata ya Kasisi

UTAWALA 

Kata ina jumla ya vijiji 03 na vitongoji 10, inayo ofisi 1 ya Kata na 1 ya Serkali ya Kijiji cha Ulasa ‘B’.

Jedwali 1: Mchanganuo wa Vijiji na Vitongoji Vyake

NA
KIJIJI

VITONGOJI

1
KAPILULA
USONGERANI
MLIMANI
MAILI NNE

2
ULASA ‘A’
KITONGOJI ‘A’
KITONGOJI ‘B’
KITONGOJI ‘C’

3
ULASA ‘B’
UTUSINI
UTEMINI
RELINI
USWAHILINI

.

IDADI YA WATU 

Kata ina jumla ya wakazi 6850 kwa mchanganuo ufuatao:-

IDADI YA WATU
ME
KE
2061
2143

 UONGOZI  NA WATUMISHI 

Jedwali 2: Mchanganuo wa Watendaji wa Kuajiliwa

KADA
WALIMU
WATENDAJI WA VIJIJI
WATENDAJI WA KATA
MEK
AFISA MIFUGO
IDADI
52
1
1
1
1

Jedwali 3: Mchanganuo wa Viongozi wa Kuchaguliwa

KADA
DIWANI

WENYEVITI WA VIJIJI

WAJUMBE WA SERIKALI ZA VIJIJI

DIWANI
1
3
66

 

SEKTA YA ELIMU 

Kata ya Kapilula inazo taasisi za Elimu kama ifuatavyo:

  • Msingi ni Kapilula, Ulasa na Ndorobo
  • Sekondari ni Kapilula

Jedwali 4: Mchanganuo wa Taasisi za Elimu


SHULE ZA MSINGI
SHULE ZA SEKONDARI
IDADI
3
1

Taarifa nyingine za Elimu ni:

  • Uandikishaji wa watoto Elimu Awali 156 sawa na 76% ya makisio
  • Uandikishaji wa watoto   Elimu ya msingi (darasa la I) 198sawa na75% ya makisio.
  • Uandikishaji wa watoto elimu ya sekondari (kidato cha 1 ni 156 sawa na 93% ya wanafunzi 168 walifaulia Kapilula sekondari.
  • Ufaulu wa mtihani wa kidato cha pili wa Taifa ni 100% ambapo wanafunzi walikuwa 38 na 38 wote wamefauli kiwango wastani A mpaka D

SEKTA YA MAJI.

Hali ya upatikanaji wa maji katika Kata ya Kapilula ni kama inavyoonyesha apa chini:-

Jedwali 5: Mchanganuo wa Visima vya Maji


ASILI
VILIVYO
ENDELEZWA
VYA PAMPU
VYA MUDA
BOMBA(GATI)
IDADI
35
2
2
1
1

SEKTA YA AFYA

Kata ya Kapilula iko jirani na Kata ya Urambo ambapo inapatikana Hospitali ya Wilaya, hivyo wananchi wa kata ya Kapilula wanatumia Hospitali ya wilaya Urambo kupata huduma za afya. 

Tambihi : Huduma ya afya ya mama na mtoto hutolewa katika ofisi ya kata kapilula kwa kila mwezi (Mobile Clinic)

 

SEKTA YA KILIMO NA MIFUGO

  • Kilimo 

Kata ya Kapilula ina eneo la kutosha kwa ajili ya kilomo cha chakula na biashara.

  • Mazao ya chakuna ni pamoja na Mahindi, Maharage, Mhogo, Viazi Vitamu, Mpunga, Karanga.
  • Mazao ya chakula ni pamoja na Tumbaku, Korosho, Pamba, Karanga, Mpunga, Mahindi, Maharage, Vizai Vitamu,
  • Mifugo

NG’OMBE
MBUZI
KONDOO
NGURUWE
KUKU
BATA
MBWA
IDADI
2351
269
117
138
4749




Pia kuna mabwawa 3 ambapo mabwawa 2 ni kwa ajili ya kunyweshea mifugo na 1lipo kijiji cha Ulasa ‘B’ linatumika kwa ajili ya ufugaji wa samaki.

 

SEKTA YA BARABARA

Kata  ya Kapilula  ina barabara za  Vijiji km 16  barabara za Wilaya km  73 na za Kitaifa km 4.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ASHIRIKIANA NA MAAFISA KUCHANGIA VIFAA VYA WANAFUNZI WA UMITASHUMTA NA UMISSETA

    May 13, 2025
  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.