• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Kata ya Kiloleni

UTANGULIZI

Kata ya Kiloleni ni miongoni mwa Kata 18 zinazounda Wilaya ya Urambo na ipo katika tarafa ya Ussoke, iko umbali wa 37km kutoka makao makuu ya wilaya ya Urambo. Kwa upande wa Mashariki na Kusini kata  imepakana na Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua, upande wa Magharibi imepakana na Kata ya Usisya, Kaskazini imepakana na Kata ya Ussoke.

Jedwali 1: MAWASILIANO YA VIONGOZI / WATENDAJI KATA YA KILOLENI

KADA/CHEO
SIMU
KADA/CHEO
SIMU
Mhe DIWANI
0744400458
VEO-KILOLENI
0762144935
WEO
0675936699
VEO-KALEMBELA
0629979890
VEO-KINHWA
0627687372
AEK
0754807768
AFISA KILIMO
0686179101


UTAWALA 

Kata ina jumla ya vijiji 04 na vitongoji 21, inayo ofisi 1 ya Kata na 1.

Jedwali 1: Mchanganuo wa Vijiji na Vitongoji Vyake

NA
KIJIJI

VITONGOJI

1
KINHWA














2
KILOLENI
















3
KALEMELA










4.
MWINYI








.

IDADI YA WATU 

Kata ina jumla ya wakazi 7275 kwa mchanganuo ufuatao:-

IDADI YA WATU
ME
KE
3625
3650

 

UONGOZI NA WATUMISHI 

Jedwali 2: Mchanganuo wa Watendaji wa Kuajiliwa

KADA
WALIMU
WATENDAJI WA VIJIJI
WATENDAJI WA KATA
AEK
AFISA MIFUGO
AFYA
IDADI
47
3
1
1
1
3

Jedwali 3: Mchanganuo wa Viongozi wa Kuchaguliwa

KADA
DIWANI

WENYEVITI WA VIJIJI

WAJUMBE WA SERIKALI ZA VIJIJI

DIWANI
1
4
104

SEKTA YA ELIMU 

Kata ya Kiloleni inazo taasisi za Elimu kama ifuatavyo:

  • Msingi ni ......
  • Sekondari ni ....
  • Jedwali 4: Mchanganuo wa Taasisi za Elimu

SHULE ZA MSINGI
SHULE ZA SEKONDARI
IDADI


Taarifa nyingine za Elimu ni:

  • Uandikishaji wa watoto Elimu Awali 197 sawa na 121% ya makisio
  • Uandikishaji wa watoto Elimu ya msingi (darasa la I) 546 sawa na 225 % ya makisio.
  • Uandikishaji wa watoto elimu ya sekondari (kidato cha 1 ni 67 sawa na 99% ya maksio.

SEKTA YA MAJI.

Hali ya upatikanaji wa maji katika Kata ya Kiloleni ni kama inavyoonyesha apa chini:-

Jedwali 5: Mchanganuo wa Visima vya Maji


ASILI
VILIVYO
ENDELEZWA
VYA PAMPU
VYA MUDA
BOMBA(GATI)
IDADI
98




 

SEKTA YA AFYA

Kata ya Kiloleni ina zahanati 1 ya kiloleni pia wananchi wa  kata ya Kiloleni wanatumia Hospitali ya wilaya Urambo kupata huduma za afya. 

Tambihi : Huduma ya afya ya mama na mtoto (RCH) hutolewa kila siku katika zahani ya kiloleni.

SEKTA YA KILIMO NA MIFUGO

  • Kilimo

Kata ya Kiloleni ina eneo la kutosha kwa ajili ya kilomo cha Chakula na Biashara.

  • Mazao ya Chakuna ni pamoja na Mahindi, Maharage, Mhogo, Viazi Vitamu, Mpunga, Karanga.
  • Mazao ya Biashara ni pamoja na Tumbaku, Korosho, Alizeti, Pamba, Karanga, Mpunga, Mahindi, Maharage, Vizai Vitamu.
  • Mifugo,  Kata ya Kiloleni inayo mifugo inayokadiliwa kuwa 48,871  kwa mchanganuo ufuatao.

NG’OMBE
MBUZI
KONDOO
NGURUWE
KUKU
BATA
MBWA
IDADI
7462
1750

52
38970





SEKTA YA BARABARA

Kata ya Kiloleni ina barabara za Vijiji km 47 barabara za Wilaya km ()  na za Kitaifa () (Taarifa inaadaliwa)

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ASHIRIKIANA NA MAAFISA KUCHANGIA VIFAA VYA WANAFUNZI WA UMITASHUMTA NA UMISSETA

    May 13, 2025
  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.