• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Kata ya Mchikichini

UTANGULIZI

Kata ya Mchikichini ni miongoni mwa Kata 18 zinazounda Halamhauri ya wilaya ya Urambo na ni miongoni mwa kata 3 zinazounda  Mamlaka ya Mji Mdogo wa Urambo.

Table 1: MAWASILIANOM YA VIONGOZI KATA YA MCHIKICHINI

1
CHEO/KADA
MAWASILIANO YA SIMU YA MKONONI
2
Mhe. Diwani
0784766975
3
Mtendaji
0626903289 au 0682051981
4
AEK
0787007058
5
Mwl – Chetu SS
0786709454
6
Mwl  - Umoja SM
0787585829
7
Mganga-KAMSEKWA
0785817976
8
M/KTI KAMSEKWA
0784664722
M/KITI MILAMBO
0787455253
M/KITI ISIKE
0783478210
M/KTI MNADANI
0787924612
  •  
  • UTAWALA 

Kata ya Mchikichini inaundwa na Vitongoji Vinne(4) ambavyo ni Kamsekwa, Milamb, Mnadani na Isike.

 

Jedwali 1: Mchanganuo wa Vitongoji Vyake


VITONGOJI

JINA
KAMSEKWA
MILAMBO
MNADANI
ISIKE
  •  
  • IDADI YA WATU 

Kata ina jumla ya wakazi 9300 kwa mchanganuo ufuatao:-

IDADI YA WATU  

IDADI YA WATU
ME
KE
4400
4900
  •  UONGOZI  NA WATUMISHI 

Kata ya Mchikichini ina jumla ya Watumishi 62 kwa mchanganuo ufuatao:-

Jedwali 2: Mchanganuo wa Watendaji wa Kuajiliwa

KADA
WALIMU
AFYA
WATENDAJI WA KATA
AEK
AFISA KILIMO &MIFUGO
IDADI
53
6
1
1
1

Jedwali 3: Mchanganuo wa Viongozi wa Kuchaguliwa

KADA
DIWANI

WENYEVITI WA VITONGOJI

DIWANI
1
4

 

  • SEKTA YA ELIMU 
  • Kuna jumla ya shule 2 ambazo zi shule ya sekondari Chetu na shule ya msingi Umoja

Jedwali 4: Mchanganuo wa Taasisi za Elimu


SHULE ZA MSINGI
SHULE ZA SEKONDARI
IDADI
1
1

Taarifa nyinginezo za Elimu ni kama ifuatavyo:

  • Uandikishaji wa darasa la awali ni wanafunzi  146 sawa na () na darasa la kwanza 223 sawa na ()
  • Uandikshaji wa kidato cha 1 ni mavulana 99 na wasichana 93 jumla ni 192 sawa na ()
  • Kuna vyumba 3 vya maabara katika shule ya sekondari Chetu kwa ajili ya masomo ya sayansi kwa vitendo
  • SEKTA YA MAJI.

Hali ya upatikanaji wa maji katika Kata ya Mchikichini ni kama inavyoonyesha apa chini:-

Jedwali 5: Mchanganuo wa Visima vya Maji


ASILI
VILIVYO
ENDELEZWA
VYA PAMPU
VYA MUDA
BOMBA(GATI)
IDADI
74
0
0
0
6
  • Taarifa nyingine za Maji ni uwepo wa mabwawa 2 ya  maji.
  • SEKTA YA AFYA

Kata ya Mchikichini inayo Zahanati 1 tu ya KAMSEKWA ya umma ikiwa na jumla ya watumishi 6, wakiume 1 na wakike 5, hivyo wananchi  wanatumia zahanati hiyo na Hospitali ya wilaya Urambo kupata huduma za afya. 

Pia huduma ya mama na mtoto hutolea katika Zahanati ya KAMSEKWA.

  • SEKTA YA KILIMO NA MIFUGO
  • Kata hii iko ndani ya Mamlaka ya Mji mdogo hivyo kwa mujibu wa sheria za Mamlaka hairuhusiwi kulina na kufuga.
  • SEKTA YA BARABARA

(Taarifa inaandaliwa)

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ASHIRIKIANA NA MAAFISA KUCHANGIA VIFAA VYA WANAFUNZI WA UMITASHUMTA NA UMISSETA

    May 13, 2025
  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.