• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Kata ya Muungano

UTANGULIZI

Kata ya Muungano ni miongoni mwa Kata 18 zinazounda Wilaya ya Urambo, ambapo ipo upande wa mashariki mwa makao makuu ya Wilaya kwa umbali wa kilomita 2.5.Pia kwa upande wa mashariki imepakana na Kata ya Ussoke magharibi inapakana na Kata ya Uyogo upande wa kaskazini inapatikama na Kata za Kapilula na upande wa kusini inapakana na kata ya Songambele

UTAWALA 

Kata ina jumla ya vijiji 04 na vitongoji 21, inayo ofisi 1 ya Kata na 3 ya Serkali ya Kijiji cha Kalemela A, Kalemela B na Muungano.

Jedwali 1: Mchanganuo wa Vijiji na Vitongoji Vyake

NA
KIJIJI

VITONGOJI

1
KALEMELA ‘A’
KALEMELA ‘A’A KATI
MAGHARIBI ‘A’
MAGHARIBI ‘B’
MASHARIKI’A’,
MASHARIKI’B’
2
KALEMEMLA ‘B’
UTUSINI
KALEMELA KATI
MWANGAZA
UPENDO
3
MUUNGANO
MITIMIREFU,
USUKUMANI
USWAHILINI
MTAKUJA ‘A’
MTUKULA,
MTAKUJA ‘B’
MUUNGANO ‘B’
4
MAGULUNGU
LEGEZAMWENDA
MAGULUNGU KATI
 MAPAMBANO ‘A’
MAPAMBANO ‘B’












IDADI YA WATU 

Kata ina jumla ya wakazi 14,092 kwa mchanganuo ufuatao:-

IDADI YA WATU
ME
KE
6056
8036

 UONGOZI NA WATUMISHI 

Jedwali 2: Mchanganuo wa Watendaji wa Kuajiliwa

KADA
WALIMU
WATENDAJI WA VIJIJI
WATENDAJI WA KATA
MEK
AFISA MIFUGO
IDADI
71
4
1
1
1
JUMLA





Jedwali 3: Mchanganuo wa Viongozi wa Kuchaguliwa

KADA
DIWANI

WENYEVITI WA VIJIJI

WAJUMBE WA SERIKALI ZA VIJIJI

DIWANI
1
4
87

SEKTA YA ELIMU 

Kata ya Muungano inazo taasisi za Elimu kama ifuatavyo:

  • Msingi ni Muungano, Lintenge, Mitimirefu, Ugwigwa,Kalemela, Maendeleo, Juhudi. na
  • Sekondari ni Mukangwa

Jedwali 4: Mchanganuo wa Taasisi za Elimu


SHULE ZA MSINGI
SHULE ZA SEKONDARI
IDADI
7
1

Taarifa nyingine za Elimu ni:

  • Uandikishaji wa watoto Elimu Awali 410 sawa na () ya makisio
  • Uandikishaji wa watoto Elimu ya msingi (darasa la I) 3123 sawa na () ya makisio.
  • Uandikishaji wa watoto elimu ya sekondari (kidato cha 1 ni 302 sawa na () ya wanafunzi 168 walifaulia Muungano sekondari.

SEKTA YA MAJI.

Kata ya Muungano ina jumla ya visima vya maji 263Hali ya upatikanaji wa maji katika Kata ya Muungano ni kama inavyoonyesha apa chini:-

Jedwali 5: Mchanganuo wa Visima vya Maji


ASILI
VILIVYO
ENDELEZWA
VYA PAMPU
VYA MUDA
VYA KUDUMU
BOMBA/GATI
IDADI
163
78
22
78
16
0

Taarifa nyinginezo za maji ni kama mifuatavyo:

  • Matanki ya kuvuna maji ni 7
  • Mabwawa ni 12.
  • Kamati za maji (COWSO) ni 3.

SEKTA YA AFYA

Kata ya Muungano (Taarifa inaadaliwa)

 

 

SEKTA YA KILIMO NA MIFUGO

  • Kilimo 

Kata ya Muungano ina eneo la kutosha kwa ajili ya kilomo cha chakula na biashara.

  • Mazao ya chakuna ni pamoja na Mahindi, Maharage, Mhogo, Viazi Vitamu, Mpunga, Karanga.
  • Mazao ya biashara ni pamoja na Tumbaku, Korosho, Pamba, Karanga, Mpunga, Mahindi, Maharage, Vizai Vitamu,
  • Mifugo

NG’OMBE
MBUZI
KONDOO
NGURUWE
KUKU
BATA
MBWA
IDADI
6143
488
93
12360
4749




344

Kata inao wavuvi wapatao 15 wanaotumia nyavu kama zana za uvuvi,  ambapo hupata mazao takriban 170 kg ya samaki kwa mwaka aina ya kambale na sato. Huvuliwa  kutoka ndani ya mabwawa 12 yanayo patikana ndani ya kata, pia tuna vikundi vine vya uvuvi na ufugaji samaki.

 

SEKTA YA BARABARA

Kata ya Muungano ina barabara za Vijiji km 49 barabara za Wilaya km 8 madaraja ni 8. Na hali ya barabara ni ya wastani.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ASHIRIKIANA NA MAAFISA KUCHANGIA VIFAA VYA WANAFUNZI WA UMITASHUMTA NA UMISSETA

    May 13, 2025
  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.