• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Kata ya Nsenda

UTANGULIZI

Kata ya Nsenda ni miongoni mwa Kata 18 zinazounda Wilaya ya  Urambo,  kwa upande wa  mashariki imepakana na Kata za Ugalla na Kasisi, magharibi inapakana na Kata ya Imalamakoye upande wa kaskazini inapatikama na hifadhi ya Taifa ya NORTH UGALLA, na upande wa kusini inapakana na kata ya Imalamakoye.

Jedwali 1: MAWASILIANO YA VIONGOZI / WATENDAJI KATA YA NSENDA

KADA/CHEO
SIMU
KADA/CHEO
SIMU
Mhe. DIWANI
0629260930
Mwl  MKUU NSENDA S/M
0621089399
MTENDAJI WA KATA
0625889611
Mwl MKUU MTAKUJA S/M
0629276071
AFISA ELIMU KATA
0625889611
Mwl MKUU MKOLA S/M
0623059654
AFISA KILIMO
0623918541
Mwl MKUU ITEBULANDA S/M
0629261512
Mwl MKUU LUNYETA S/M
0622345955
MTENDAJI KIJIJI KANGEME
0620632152
MTENDAJI KIJIJI ITEBULANDA
0627686929
MGANGA ITEBULANDA
062733839
MKUU WA SHULE IMALAMAKOYE
0621121816



UTAWALA 

Kata ina jumla ya vijiji 03 na vitongoji 10, ofisi za vijiji ni 4, ofisi ya kata ni 1.

Jedwali 1: Mchanganuo wa Vijiji na Vitongoji Vyake

NA
KIJIJI

VITONGOJI

1
NSENDA

KANOGE MLIMANI
2
ITEBULANDA

ITEBULANDA MAFENGI
3
KANGEME

LUNYETA KANGEME
4
UTENGE

MKOLA UTENGE
5
MTAKUJA

MTAKUJA  MIFUGONI

.

IDADI YA WATU 

Kata ina jumla ya wakazi 1683 kwa mchanganuo ufuatao:-

IDADI YA WATU
ME
KE
7710
8473

 

 UONGOZI NA WATUMISHI 

Jedwali 2: Mchanganuo wa Watendaji wa Kuajiliwa

KADA
WALIMU
WATENDAJI WA VIJIJI
WATENDAJI WA KATA
MEK
        AFISA MIFUGO/MIFUGO
IDADI
44
5
1
1
1

Jedwali 3: Mchanganuo wa Viongozi wa Kuchaguliwa

KADA
DIWANI

WENYEVITI WA VIJIJI

WAJUMBE WA SERIKALI ZA VIJIJI

DIWANI
1
5
96

SEKTA YA ELIMU 

Kata ya Nsenda inazo taasisi za Elimu kama ifuatavyo:

  • Shule za Msingi ni:Nsenda, Itebulanda, Lunyeta, Mkola, na Mtakuja
  • Shule ya Sekondari ni Imalamakoye na shule zote ni za umma.

Jedwali 4: Mchanganuo wa Taasisi za Elimu


SHULE ZA MSINGI
SHULE ZA SEKONDARI
IDADI
5
1

Taarifa nyingine za Elimu ni: 

  • Uandikishaji wa watoto Elimu Awali 219 sawa na 78% ya makisio
  • Uandikishaji wa watoto Elimu ya msingi (darasa la I) 173 sawa na 94% ya makisio.
  • Uandikishaji wa watoto elimu ya sekondari (kidato cha 1 ni 76 sawa na 74% ya makisio.

SEKTA YA MAJI.

Hali ya upatikanaji wa maji katika Kata ya Nsenda ni kama inavyoonyesha apa chini:-

Jedwali 5: Mchanganuo wa Visima vya Maji


ASILI
VILIVYO
ENDELEZWA
VYA PAMPU
VYA MUDA
BOMBA(GATI)
IDADI
72
20
7
12
0

Pia  kuna Malambo 5 ya maji.

SEKTA YA AFYA

Kata ya Nsenda inayo Zahanati 1 ya ITEBULANDA  inayomilikiwa na serikal ya kijiji cha Itebulandai, pia wananchi wa kata ya Nsenda wanatumia Hospitali ya wilaya Urambo kupata huduma za afya. 

Pia Huduma ya afya ya mama na mtoto hutolewa katika ofisi ya Zahanati ya Nsenda kwa kila mwezi.

 

SEKTA YA KILIMO NA MIFUGO

  • Kilimo 

Kata ya Nsenda ina eneo la kutosha kwa ajili ya kilomo cha chakula na biashara.

  • Mazao ya Chakuna ni pamoja na Mahindi, Maharage, Mhogo, Viazi Vitamu, Mpunga, Karanga.
  • Mazao ya Biashara ni pamoja na Tumbaku, Korosho, Pamba, Karanga, Mpunga, Mahindi, Maharage, Vizai Vitamu,
  • Mifugo  Kata ya Nsenda inakadiliwa kuwa na mifugo jumla ya 37436 kwa mchanganuo ufutao:-

NG’OMBE
MBUZI
KONDOO
NGURUWE
KUKU
BATA
MBWA
PUNDA WENGINEO
IDADI
9679 1288 138 50 18646 229



267 30 1193

 Kuna Mabwawa ya kufugia samaki 7 katika vijiji vya Itebulanda 2, Utenge 5.

SEKTA YA BARABARA

Kata ya Nsenda ina barabara za Vijiji km 4 barabara za Wilaya km 23 na madaraja yapatayo 12. Matengenezo/marekebisho ya barabara yanafanyika ambapo jumla ya km 6 za barabara zimefanyiwa matengenezo ya kawida. (Routine Maintanance and Spot Improvement)

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ASHIRIKIANA NA MAAFISA KUCHANGIA VIFAA VYA WANAFUNZI WA UMITASHUMTA NA UMISSETA

    May 13, 2025
  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.