• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Kata ya Ukondamoyo

Kata ya Ukondamoyoi ni miongoni mwa Kata 18 zinazounda Wilaya ya Urambo, kwa upande wa mashariki imepakana na Kata ya Imalamakoye, Magharibi ni kata ya Vumila na Wilaya ya Kaliua, upande wa kaskazini inapatikama na kata za Urambo na Vumilaia, na upande wa kusini inapakana na kata ya Ifadhi ya NORTH UGALLA.

Jedwali 1: MAWASILIANO YA VIONGOZI / WATENDAJI KATA YA UKONDAMOYOI

KADA/CHEO
SIMU
KADA/CHEO
SIMU
Mhe. DIWANI
0629684068
Mhe. Diwani V/M
0784677143
MTENDAJI WA KATA
0688776859
Mwl MKUU IFUTA S/M
0628376420
AFISA ELIMU KATA
0622597639
Mwl MKUU NHOLONGO S/M
0629683191
AFISA KILIMO
0688030638
Mwl MKUU KAMALENDI S/M
0622346294
Mwl MKUU AMANII S/M
0627337468
Mwl MKUU MAGEREZA S/M
0789139055
Mwl MKUU UTEBE S/M
0629925162 Mwl MKUU UKONDAMOYOI S/M
0621089399
Mwl MKUU UKONDMOYO S/M
0787619010
MTENDAJI KIJIJI TUMAINI
0627686866
MTENDAJI KIJIJI IFUTA

MGANGA KAMALENDI
0628376545
MTENDAJI KIJIJI UKONDAMOYO
0624714047
MGANGA MAGEREZA
0756291222
MKUU WA SHULE UKONDMOYO
0763865631
MTENDAJI KIJIJI KAMALENDI
0624107637

UTAWALA 

Kata ina jumla ya vijiji 04 na vitongoji 27, ofisi za vijiji ni 4, ofisi ya kata ni 1.

Jedwali 1: Mchanganuo wa Vijiji na Vitongoji Vyake

NA
KIJIJI

VITONGOJI

1
UKONDAMOYO
FARM1 2
FARM 10
FARM 9
 FARM 8
FARM 2 CORNER
UTUSINI ‘A’
UTUSINI ‘B’
FARM 14






2
TUMAINI
FARM 5
FARM 13
NHOLONGO
UJIRANIMWEMA
MABATINI
MTAKUJA








3
IFUTA
KILOLENI
SATINI
SEVENI
UTEBE
IBANA
TUJITEGEMEE








4
KAMALENDI
NAMBA MOJA-TATU
NAMBA NNE
NAMBA TANO
NAMABA SITA-SABA


NAMABA TISA -KUMI
KATUTUBILA
KARIAKOO

.

IDADI YA WATU 

Kata ina jumla ya wakazi 16176 Kwa mchanganuo ufuatao:-

IDADI YA WATU
ME
KE
7358
8818

 

UONGOZI NA WATUMISHI 

Jedwali 2: Mchanganuo wa Watendaji wa Kuajiliwa

KADA
WALIMU
WATENDAJI WA VIJIJI
WATENDAJI WA KATA
AEK
AFISA MIFUGO/KILIMO
IDADI
52
3
1
1
1

Jedwali 3: Mchanganuo wa Viongozi wa Kuchaguliwa

KADA
DIWANI

WENYEVITI WA VIJIJI

WAJUMBE WA SERIKALI ZA VIJIJI

DIWANI
2
4
84

SEKTA YA ELIMU 

Kata ya Ukondamoyoi inazo taasisi za Elimu kama ifuatavyo:

  • Shule za Msingi ni:Ukondamoyo, Amani, Magereza, Nholongo, Ifuta, Kamalendi na Utebe
  • Shule ya Sekondari ni Ukondamoyo na  shule zote ni za umma.
  • Pia kuna vyumba vya maabara vitatu vya masomo ya sayansi kwa vitendo katika shule ya sekondari Ukondamoyo.

Jedwali 4: Mchanganuo wa Taasisi za Elimu


SHULE ZA MSINGI
SHULE ZA SEKONDARI
IDADI
7
1

Taarifa nyingine za Elimu ni:

  • Uandikishaji wa watoto Elimu Awali 293 sawa na 69% ya makisio
  • Uandikishaji wa watoto Elimu ya msingi (darasa la I) 680 sawa na 85% ya makisio.
  • Uandikishaji wa watoto elimu ya sekondari (kidato cha 1 ni 80 sawa na 85% ya makisio.

SEKTA YA MAJI.

Hali ya upatikanaji wa maji katika Kata ya Ukondamoyoi ni kama inavyoonyesha apa chini:-

Jedwali 5: Mchanganuo wa Visima vya Maji


ASILI
VILIVYO
ENDELEZWA
VYA PAMPU
VYA MUDA
BOMBA(GATI)
IDADI
72
20
5
12
20

Pia kuna Matanki 4 ya kuvunia maji ya mvua.

 

SEKTA YA AFYA

Kata ya Ukondamoyoi inazo Zahanati 2 za MAGEREZA NA KAMALENDI, Zahanati ya Kamalendi inamilikiwa na serikal ya kijiji cha Kamalendi na Magereza iko chini ya Jeshi la Magereza. Pia wananchi wa kata ya Ukondamoyoi wanatumia Hospitali ya wilaya ya Urambo kupata huduma za afya. 

Pia Huduma ya mama na mtoto (RCH)  hutolewa katika  Zahanati zote kwa kila siku

 

SEKTA YA KILIMO NA MIFUGO

  • Kilimo 

Kata ya Ukondamoyoi ina eneo la kutosha kwa ajili ya kilomo cha chakula na biashara.

  • Mazao ya Chakuna ni pamoja na Mahindi, Maharage, Mhogo, Viazi Vitamu, Mpunga, Karanga na Mtama.
  • Mazao ya Biashara ni pamoja na Tumbaku,Alizeti Korosho, Pamba, Karanga, Mpunga, Mahindi, Maharage, Vizai Vitamu,
  • Mifugo  Kata ya Ukondamoyoi inakadiliwa kuwa na mifugo jumla ya 45695 kwa mchanganuo ufutao:-

NG’OMBE
MBUZI
KONDOO
NGURUWE
KUKU
BATA
MBWA
PUNDA
WENGINEO
IDADI
19323
4795
831
57
17476
514




971
34
1694

 

 Kuna Mabwawa ya kufugia samaki ()

SEKTA YA BARABARA

Kata ya Ukondamoyoi ina barabara za Vijiji km () barabara za Wilaya km ()na madaraja yapatayo ()

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ASHIRIKIANA NA MAAFISA KUCHANGIA VIFAA VYA WANAFUNZI WA UMITASHUMTA NA UMISSETA

    May 13, 2025
  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.