• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Kata ya Ussoke

UTANGULIZI

Kata ya Ussoke ni miongoni mwa Kata 18 zinazounda Wilaya ya Urambo, ambapo ipo katika tarafa ya Ussoke, upande wa mashariki imepakana na  Wilaya ya Uyui, magharibi inapakana na Kata ya Usisya ,upande wa kaskazini inapatikama na Kata za Kiloleni na upande wa kusini inapakana na kata ya Uyumbu na Ugalla.

Jedwali 1: MAWASILIANO YA VIONGOZI KATA YA USSOKE

KADA/CHEO
SIMU
KADA/CHEO
SIMU
Mhe. Diwani
0783658864
AFISA KILIMO
0766099209
Mtendaji (WEO)
0684172417
MGAMGA-USSOKE HC
0784664880
VEO-Ussoke Mjini
0757227987
VEO-Itegamatwi
0687427212
AEK
0784466890
VEO-Usongelani
0756867636
Mwl USONGELANI SS 0784145452 Mwl Ussoke SM 0758261746
Mwl Usongelani SM 0786150236 Mwl Mapinduzi SM 0629192048

 

UTAWALA 

Kata ina jumla ya vijiji 03 na vitongoji 15, inayo ofisi 1 ya Kata na 2 za Serkali za vijiji vya Ussoke mjini na Usongelani.

Jedwali 1: Mchanganuo wa Vijiji na Vitongoji Vyake.

NA
KIJIJI

VITONGOJI

1
USSOKE MJINI
USSOKE SOKONI,
MAGHARIBI,
MAJENGO,
KASKAZINI
IMALAMIHAYO
MASHARIKI
ILENDA







2
ITEGAMATWI
KAKOLA
IHEGA
UYELA
MLIMANI
MIFUGONI



3
USONGELANI
USONGELANI ‘A’
USONGELANI ‘B’
USONGELANI ‘C’

.

IDADI YA WATU 

Kata ina jumla ya wakazi 8671 kwa mchanganuo ufuatao:-

IDADI YA WATU
ME
KE
4151
4520

 

UONGOZI NA WATUMISHI 

Jedwali 2: Mchanganuo wa Watendaji wa Kuajiliwa

KADA
WALIMU
WATENDAJI WA VIJIJI
WATENDAJI WA KATA
AEK
AFISA MIFUGO
IDADI
45
3
1
1
1

Jedwali 3: Mchanganuo wa Viongozi wa Kuchaguliwa

KADA
DIWANI

WENYEVITI WA VIJIJI

WAJUMBE WA SERIKALI ZA VIJIJI

DIWANI
3
3
63

SEKTA YA ELIMU 

Kata ya Ussoke inazo taasisi za Elimu kama ifuatavyo:

  • Msingi ni Ussoke, mapinduzi, usongelani na Itegamatwi.
  • Sekondari ni Usongelani.

Jedwali 4: Mchanganuo wa Taasisi za Elimu


SHULE ZA MSINGI
SHULE ZA SEKONDARI
IDADI
4
1

Taarifa nyingine za Elimu ni:

  • Uandikishaji wa watoto Elimu Awali 124 sawa na 62% ya makisio
  • Uandikishaji wa watoto Elimu ya msingi (darasa la I) 249 sawa na112% ya makisio.
  • Uandikishaji wa watoto elimu ya sekondari (kidato cha 1 ni 96 sawa na 66 % ya wanafunzi ya naksio.

SEKTA YA MAJI.

Hali ya upatikanaji wa maji katika Kata ya Ussoke ni kama inavyoonyesha apa chini:-

Jedwali 5: Mchanganuo wa Visima vya Maji


ASILI
VILIVYO
ENDELEZWA
VYA PAMPU
VYA MUDA
VYA KUDUMU
BOMBA(GATI)
IDADI
176
30
9
86
1
5

 

SEKTA YA AFYA

Kata ya Ussoke ina Kituo cha Afya 1 cha Ussoke kinacho hudumia wakazi wa tarafa ya ussoke pamoja na wilaya jirani ya Uyui.Pia wananchi wa kata ya Ussoke wanatumia Hospitali ya wilaya Urambo kupata huduma za afya. 

Huduma ya afya ya mama na mtoto hutolewa katika katika kitupo cha Afya  Ussoke kwa kila siku.

 

SEKTA YA KILIMO NA MIFUGO

  • Kilimo 

Kata ya Ussoke ina eneo la kutosha kwa ajili ya kilomo cha chakula na biashara.

  • Mazao ya Chakuna ni pamoja na Mahindi, Maharage, Mhogo, Viazi Vitamu, Mpunga, Karanga, Ulezi.
  • Mazao ya Biashara ni pamoja na Tumbaku, Korosho, Embe, Alizeti, Pamba, Karanga, Mpunga, Mahindi, Maharage, Vizai Vitamu,
  • Mifugo

NG’OMBE
MBUZI
KONDOO
NGURUWE
KUKU
BATA
MBWA
PUNDA
IDADI
4727
4480
117
48
13665




364
4

Pia kuna mabwawa 7 ambapo mabwawa 6 ni kwa ajili ya kunyweshea mifugo. 

 

SEKTA YA BARABARA

 Kata ya Ussoke ina barabara

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ASHIRIKIANA NA MAAFISA KUCHANGIA VIFAA VYA WANAFUNZI WA UMITASHUMTA NA UMISSETA

    May 13, 2025
  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.