• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Kata ya Uyumbu

UTANGULIZI

Kata ya Uyumbu ni miongoni mwa Kata 18 zinazounda Wilaya ya Urambo (TAARIFA BADO INAANDALIWA)

UTAWALA 

Kata ina jumla ya vijiji 06 na vitongoji 29, inayo ofisi 1 ya Kata na 2 za Serkali za Viijiji.Katika kijiji cha Yelayela jengo la ofisi liko katika hatua ya umaliziaji.

Jedwali 1: Mchanganuo wa Vijiji na Vitongoji Vyake

NA
KIJIJI

VITONGOJI

1





2





3





.

IDADI YA WATU 

Kata ina jumla ya wakazi 17224 kwa mchanganuo ufuatao:-

IDADI YA WATU
ME
KE
8207
9017

 UONGOZI NA WATUMISHI 

Jedwali 2: Mchanganuo wa Watendaji wa Kuajiliwa

KADA
WALIMU
AFYA
WATENDAJI WA VIJIJI
WATENDAJI WA KATA
MEK
AFISA MIFUGO
IDADI
52
7
2
1
1
1

Jedwali 3: Mchanganuo wa Viongozi wa Kuchaguliwa

KADA
DIWANI

WENYEVITI WA VIJIJI

WAJUMBE WA SERIKALI ZA VIJIJI

DIWANI
2
6
119

 

SEKTA YA ELIMU 

Kata ya Uyumbu inazo taasisi za Elimu kama ifuatavyo:

  • Msingi ni:  Msengesi, Tupendane,Izimbili, Yelayela, Nsogolo
  • Sekondari ni Uyumbu

Jedwali 4: Mchanganuo wa Taasisi za Elimu


SHULE ZA MSINGI
SHULE ZA SEKONDARI
IDADI
5
1

Taarifa nyingine za Elimu ni:

  • Kuna shule shikizi katika S/M Izimbili iliyoko katika kitongoji cha Kangeme.
  • Kuna vyumba 3 vya maabara kwa ajili ya katika shule ya sekondari Uyumbu kwa ajili ya masomo ya Sayansi kwa vitendo.
  • Uandikishaji wa watoto Elimu Awali 427 sawa na 77.4% ya makisio
  • Uandikishaji wa watoto Elimu ya msingi (darasa la I) 819 sawa na 81% ya makisio.
  • Uandikishaji wa watoto elimu ya sekondari (kidato cha 1 ni 156 sawa na 71.2% ya wanafunzi 219 waliokadiliwa kujiunga na elimu ya sekondari.

SEKTA YA MAJI.

Hali ya upatikanaji wa maji katika Kata ya Uyumbu ni kama inavyoonyesha apa chini:-

Jedwali 5: Mchanganuo wa Visima vya Maji


ASILI
VILIVYO
ENDELEZWA
VYA PAMPU
VYA MUDA
BOMBA(GATI)
IDADI
45
11
14
1
0

 

SEKTA YA AFYA

Kata ya Uyumbu inazo Zahanati 2 ambazo ni Izimbili yenye watumishi 4 na Nsogolo yenye watumshi 3. Wananchi wa kata ya Uyumbu wanatumia zahanati hizo na Hospitali ya wilaya Urambo kupata huduma za afya. 

Tambihi : Huduma ya afya ya mama na mtoto hutolewa katika zahanati tajwa apo juu kila mwezi.

 

SEKTA YA KILIMO NA MIFUGO

  • Kilimo 

Kata ya Uyumbu ina eneo la kutosha kwa ajili ya kilomo cha chakula na biashara.

  • Mazao ya Chakuna ni pamoja na Mahindi, Maharage, Mhogo, Viazi Vitamu, Mpunga, Karanga.
  • Mazao ya Biashara ni pamoja na Tumbaku,Alizeti, Korosho, Pamba, Karanga, Mpunga, Mahindi, Maharage,Embe na Viazi Vitamu,
  • Mifugo, Kata ya Uyumbu ina mifugo wanaokadriwa kuwa 17718 kwa mchanganuo ufuatao:-

NG’OMBE
MBUZI
KONDOO
NGURUWE
KUKU
BATA
MBWA
IDADI
10344
3540
714
547
2573





Kuna Josho 1 kwa ajili ya kuogesha mifugo.

 

SEKTA YA BARABARA

Kata ya Uyumbu ina barabara za Vijiji km 5 barabara za Wilaya km 36 na za Kitaifa km 24, na madaraja madogo ni 16.

.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ASHIRIKIANA NA MAAFISA KUCHANGIA VIFAA VYA WANAFUNZI WA UMITASHUMTA NA UMISSETA

    May 13, 2025
  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.