• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Kata ya Vumilia

UTANGULIZI

Kata ya Vumilia ni miongoni mwa Kata 18 zinazounda Wilaya ya Urambo, kwa upande wa Mashariki imepakana na Kata ya Urambo, Kwa upande wa Magharibi na  Kasikazini  imepakana na Wilaya ya Kaliua na upande wa kusini imepakana na Kata ya Ukondamoyo

Jedwali 1: MAWASILIANO YA VIONGOZI/WATENDAJI KATA YA NSENDA

KADA/CHEO
SIMU
KADA/CHEO
SIMU
Mhe. DIWANI
0626544511
Mwl  MKUU MOTOMOTO S/M

MTENDAJI WA KATA
0625470628
Mwl MKUU NKOKOTO S/M

AFISA ELIMU KATA
0629637735
MTENDAJI KIJIJI NKOKOTO

AFISA KILIMO
0757337433
MTENDAJI KIJIJI UHURU

Mwl MKUU CHEKELENI S/M
0629691513
MTENDAJI KIJIJI CHEKELENI
0620632152
MTENDAJI KIJIJI MOTOMOTO

MGANGA ITEBULANDA
062733839
MKUU WA SHULE VUMILIA

MTENDAJI KIJIJI VUMILIA


UTAWALA 

Kata ina jumla ya vijiji 05 na vitongoji 21, inayo ofisi 1 ya Kata na 1.

Jedwali 1: Mchanganuo wa Vijiji na Vitongoji Vyake

NA
KIJIJI

VITONGOJI

1
MOTOMOTO
KASULU
UNYANYEMBE
SUMBAWANGA
MIRAMBO
MIFUGONI
MBAONI








2
CHEKERENI
KASKAZINI
 KUSINI








3
VUMILIA
UTULIVU
VUMILIA KATI
VUMILIA KASKAZINI
VUMILIA KUSINI






4.
UHURU
CHEMKENI
UJIJI
UHURU
MASHARIKI
MIFUGONI
UPENDO








5.
NKOKOTO
NKOKOTO
MASHARIKI
NKOKOTO MAGHARIBI
MIFUGONI
KATUTUBILA



.

IDADI YA WATU 

Kata ina jumla ya wakazi 12480 kwa mchanganuo ufuatao:-

IDADI YA WATU
ME
KE
6176
6304

 

UONGOZI NA WATUMISHI 

Jedwali 2: Mchanganuo wa Watendaji wa Kuajiliwa

KADA
WALIMU
WATENDAJI WA VIJIJI
WATENDAJI WA KATA
AEK
AFISA MIFUGO
IDADI
61
1
4
1
1

Jedwali 3: Mchanganuo wa Viongozi wa Kuchaguliwa

KADA
DIWANI

WENYEVITI WA VIJIJI

WAJUMBE WA SERIKALI ZA VIJIJI

DIWANI
1
5

SEKTA YA ELIMU 

Kata ya Vumilia inazo taasisi za Elimu kama ifuatavyo:

  • Msingi ni Vumilia, Motomoto, Nkokoto ,Uhuru, na Chekereni
  • Sekondari ni Vumilia secondary
  • Jedwali 4: Mchanganuo wa Taasisi za Elimu

SHULE ZA MSINGI
SHULE ZA SEKONDARI
IDADI
5
1

Taarifa nyingine za Elimu ni:

  • Uandikishaji wa watoto Elimu Awali 274 sawa na 98% ya makisio
  • Uandikishaji wa watoto Elimu ya msingi (darasa la I) 499 sawa na 85 % ya makisio.
  • Uandikishaji wa watoto elimu ya sekondari (kidato cha 1 ni 126 sawa na 93% ya maksio.

SEKTA YA MAJI.

Hali ya upatikanaji wa maji katika Kata ya Vumilia ni kama inavyoonyesha apa chini:-

Jedwali 5: Mchanganuo wa Visima vya Maji


ASILI
VILIVYO
ENDELEZWA
VYA PAMPU
VYA MUDA
BOMBA(GATI)
IDADI
80
26
4
6
2

Taarifa nyingine ni kama ifuatavyo:-

  • Matank ya kuvunia maji 8,malambo 3, pamoja na kamati za maji (COWSO) 2

 

SEKTA YA AFYA

Kata ya Vumilia inazo zahanati 3 za Vumilia, Motomoto na Nkokoto zenye jumla ya watumishi 9.

Pia wananchi wa kata ya Vumilia wanatumia Hospitali ya wilaya Urambo kupata huduma za afya. 

Tambihi : Huduma ya afya ya mama na mtoto (RCH) hutolewa kila siku katika zahani tajwa apo juu.

SEKTA YA KILIMO NA MIFUGO

  • Kilimo 

Kata ya Vumilia ina eneo la kutosha kwa ajili ya kilomo cha Chakula na Biashara.

  • Mazao ya Chakuna ni pamoja na Mahindi, Maharage, Mhogo, Viazi Vitamu, Mpunga, Karanga.
  • Mazao ya Biashara ni pamoja na Tumbaku, Korosho, Alizeti, Pamba, Karanga, Mpunga, Mahindi, Maharage, Vizai Vitamu.
  • Mifugo,  Kata ya Vumilia inayo mifugo inayokadiliwa kuwa 16917 kwa mchanganuo ufuatao.

NG’OMBE
MBUZI
KONDOO
NGURUWE
KUKU
BATA
MBWA
IDADI
6700
832
117
260
8780





Pia kuna Josho 1 kwa ajili ya kuogeshea mifugo.

SEKTA YA BARABARA

Kata ya Vumilia ina barabara za Vijiji km () barabara za Wilaya km ()  na za Kitaifa () (Taarifa inaadaliwa)

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ASHIRIKIANA NA MAAFISA KUCHANGIA VIFAA VYA WANAFUNZI WA UMITASHUMTA NA UMISSETA

    May 13, 2025
  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.