• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

AHSANTE SERIKALI YA AWAMU YA SITA, USSOKE SASA IMEPATA GARI JIPYA LA KUBEBEA WAGONJWA

Siku iliyowekwa: February 17th, 2025

Mbunge wa Jimbo la Urambo Mhe. Margareth Sitta alikabidhi Gari jipya la kubebea wagonjwa (Ambulance) katika kituo cha Afya Ussoke mnamo tarehe 15.02.2025 ikiwa ni katika jitihada za kuhakikisha huduma bora za Afya zinapatikana kwa ufanisi zaidi na kuwafikia wananchi kama ambavyo Serikali ya Awamu ya Sita imekusudia.


 Mhe. Margaret Sitta alikabidhi gari hilo katika kituo cha Afya Ussoke akiwa katika Ziara ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilayani Urambo. Ziara hii iliyoongozwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Wilayani Urambo Ndg. Mussa Shabani na kuhusisha Wajumbe wa Halmashauri hiyo ya CCM, Mkuu wa Wilaya ya Urambo Mhe. Dkt. Khamis Mkanachi, Mhe. Mbunge wa Jimbo Margareth Sita,Timu ya Wataalamu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Urambo iliyoongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Bi. Grace Quintine pamoja na Wakuu wa Taasisi mbalimbali ikiwemo RUWASA, TANESCO pamoja na TARURA na Wataalamu wao. Ziara hii ilikuwa maalumu kwa ajili ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Miradi mbalimbali ya kimkakati inayolenga kutatua  changamoto mbalimbali kwa wakazi wa Urambo.



Sambamba na hilo Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Urambo ilitembelea miradi mingine ya kimkakatii inayotekelezwa wilayani hapa ukiwemo Mradi Mkubwa wa maji ya Ziwa Victoria, mradi unaotarajiwa kumaliza tatizo la maji Wilayani Urambo na Wilaya nyinginezo kama Kaliua na Sikonge pamoja na Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Maji katika Kijiji cha Kalemela "A" mradi wenye thamani ya Bilioni 5.9. 


Aidha Mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Tabora kuelekea Kigoma Pamoja na kituo kikubwa cha Kupokea na Kupoza umeme ambacho kinatarajia kuanza kutumika hivi karibuni vilitembelewa.


Ikumbukwe kuwa Wilaya ya Urambo imepokea fedha nyingi zilizoletwa na Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia Juhudi za Mbunge wa Jimbo la Urambo Mhe. Margaret Sitta za kuhakikisha Urambo inapata huduma Bora za kijamii ikiwemo huduma za Afya, Maji, Umeme pamoja na Elimu.

Kazi iendelee

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ASHIRIKIANA NA MAAFISA KUCHANGIA VIFAA VYA WANAFUNZI WA UMITASHUMTA NA UMISSETA

    May 13, 2025
  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.