• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2025-2030
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

DED GRACE QUINTINE AWAPOKEA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Siku iliyowekwa: September 29th, 2025

Urambo, 


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Bi. Grace Quintine tarehe 29.09.2025 akiwa pamoja na wajumbe wa timu ya Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Urambo (CMT), amewapokea Madaktari Bingwa 6 wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambao wameweka kambi ya siku tano kwa ajili ya kutoa huduma za Kibingwa kwa Wananchi wa Wilaya ya Urambo.


Madaktari hawa Sita Walioambatana na Mwakilishi kutoka Wizara ya Afya Dkt. Bundala wanatarajia kutoa matibabu ya kibingwa ya


1. Magonjwa ya upasuaji

2. Magonjwa ya ndani kama vile shinikizo la juu la damu au kisukari

3. Magonjwa ya wanawake na ukunga

4. Magonjwa ya kinywa na meno

5. Magonjwa ya watoto na watoto wachanga


Aidha Bi. Grace Quintine amemshukuru Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kuwaleta madaktari hawa kila mwaka ili watoe huduma kwa wananchi, na kuwapunguzia adha ya kufuata huduma hizi katika hospitali kubwa Nchini.


Bi. Grace Quintine aliendelea kwa kusema kuwa, kutokana na juhudi kubwa za Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuboresha Hospitali ya Wilaya ya Urambo, madaktari hawa watakwenda kufanya kazi zao katika mazingira bora kutokana na uwepo wa majengo mapya pamoja na vifaa tiba vya kisasa vya kutosha.


Naye Mganga Mkuu wa Wilaya ya Urambo Dkt. David Manyama ameeleza kuwa, Madaktari hawa watakuwepo na kutoa huduma za afya katika Hospitali ya Wilaya kuanzia tarehe 29.09.2025 hadi tarehe 03.10.2025 kwa gharama nafuu sana.


Aidha Dkt. Manyama amesema kuwa ujio wa madaktari bingwa hawa unakwenda kusaidia kutibu wagonjwa wengi waliokuwa na changamoto mbalimbali na kushindwa kufuata huduma hizo katika hospitali kubwa, na pia kuwaongezea ujuzi wataalamu wa afya katika hospitali ya Wilaya ya Urambo.

Matangazo

  • TANGAZO MUHIMU KUHUSU UCHAGUZI MKUU 2025 September 17, 2025
  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED GRACE QUINTINE AWAPOKEA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

    September 29, 2025
  • WAFAMASIA NI WATU MUHIMU, NENDENI MKAFANYE KAZI KWA WELEDI

    September 25, 2025
  • MADAKTARI WA UTENGAMANO KUTOKA HOSPITALI YA KITETE WALETA FARAJA WILAYANI URAMBO

    September 25, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ATEMBELEA ZAHANATI YA GEREZA LA KILIMO URAMBO

    September 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.