• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2025-2030
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

DED URAMBO AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA BILILONI 3.5

Siku iliyowekwa: October 2nd, 2025

Urambo, Tabora

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Mkoani Tabora, Bi. Grace Quintine ametembelea miradi anuai inayotekelezwa katika Kata mbalimbali za Tarafa ya Urambo na Ussoke  Wilayani Urambo yenye thamani ya Tsh 3,507,536,700 inayotekelezwa katika Wilaya ya Urambo kupitia Fedha kutoka Serikali kuu na Mapato ya Ndani ya Halmashauri.


Bi. Quintine amefanya ziara hiyo siku ya Jumanne Septemba 30, 2025 na Jumatano 01.10.2025 katika maeneo ambayo miradi inatekelezwa na kuwataka mafundi wanaojenga miundombinu hiyo kuzingatia thamani ya fedha kwa lengo la kuhakikisha inadumu na kutoa huduma kwa muda Mrefu.


Aidha, amewataka wataalamu wa Halmashauri ambao wanahusika na kusimamia miradi hiyo kuwa karibu na miradi hiyo kwa lengo la kuhakikisha inakamilika kwa wakati na kwa ubora wa hali ya juu vinginevyo watawajibika wao wenyewe kushughulika na mapungufu yatakayojitokeza.

Sambamba na hilo Bi. Grace Quintine aliyeambatana na timu ya Wataalamu, ametembelea miradi inayofadhiliwa na Wadau wa Maendeleo ambao ni SEQUIP, BOOST na GPE-TSP yenye thamani ya Tsh. Bilioni 2,190,281,126, miradi inayojengwa kwa fedha kutoka serikali Kuu yenye Thamani ya fedha Bilioni 1,256,135,134 na Mapato ya Ndani yenye thamani ya Milioni 61,120,440.


Miradi yote iliyotembelewa inatekelezwa katika sekta mbalimbali ikiwemo Sekta ya Afya kupitia ujenzi wa vituo vya Afya, zahanati n.k, Idara ya Elimu ambapo serikali inajenga Vyumba vya Madarasa, Mabweni na Matundu ya Vyoo Pamoja na Mifugo kupitia ujenzi wa majosho.


Hata hivyo Bi. Quintine amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuona umuhimu wa Kutoa fedha nyingi za Miradi kwa ajili ya Wanaurambo, hivyo ni wajibu wa kila anayehusika kukamilisha dhamira ya Serikali ya awamu ya Sita ya kuwahudumia Wananchi kwa Vitendo.

Matangazo

  • TANGAZO MUHIMU KUHUSU UCHAGUZI MKUU 2025 September 17, 2025
  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • CMT URAMBO YADHAMIRIA KUINUA PATO LA HALMASHAURI KUPITIA UWEKEZAJI

    October 08, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA MAMA SAMIA WAACHA ALAMA URAMBO

    October 04, 2025
  • DED URAMBO AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA BILILONI 3.5

    October 02, 2025
  • DED GRACE QUINTINE AWAPOKEA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

    September 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.