• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Fichueni Raia wa Kigeni Wasipate Vitambulisho vya Taifa- RC Tabora

Siku iliyowekwa: March 16th, 2018

Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri yuko katika ziara ya kikazi kuhamasisha kilimo bora cha Pamba kwa musimu wa mwaka huu, akiwa Wilayani Urambo Machi 15 hadi 16, 2018  amewataka wakazi wa Wilaya ya Urambo kuwa makini kwa kutoa taarifa sahihi wakati wa zoezi la uandikishaji kwa ajili ya vitambulisho vya Taifa ili watu wasiostahili wasije wakajipenyeza na kupatiwa vitambulisho bila kustahili.

Akizungumza katika Kijiji cha Ussoke Mlimani alisema kuwa wananchi wanatakiwa kufichua watu wote wasio raia ambao wanataka kujiandikisha ili waweze kupata vitambulisho kinyume cha sheria.

“Ili zoezi hili liwe na tija kwao na Taifa ni vema wananchi mkatoa ushirikiano kwa watendaji wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa yaani NIDA, na kwa viongozi wa Wilaya pale wanapomtilia shaka mtu anayetaka kujiandikisha ili uchunguzi ufanyike kuzuia udanganyifu huo” alisema hayo Mkuu wa Mkoa.

Aidha aliwakumbusha wananchi ya kuwa  huko nyuma Urambo ilikuwa sehemu ya makazi ya Wakimbikizi kutoka nchi jirani hasa sehemu za Ulyankulu na walikuwepo baadhi yao walio jipenyeza na kuweka makazi bila kufuata utaratibu.

Alisema ni jukumu la kila mkazi wa Urambo ambaye ni mzalendo kufichua mbinu chafu kama zinataka kufanyika ili kuficha ukweli wa mtu kwa makusudio ya kutaka kumpa kitambulisho mgeni.

Pia Mkuu wa Mkoa alitoa wito kwa Wakazi wote wa Mkoa huo ambao wana sifa kuendelea kujitokeza kwa wingi kwenda katika maeneo yalipopangwa ili kujiandikisha kabla ya muda wa mwisho wa zoezi hilo.

Alisema kitendo cha baadhi ya watu kupenda kujiandikisha siku za mwisho kimekuwa kikisababisha msongamano na usumbufu kwa wananchi na kuongeza ili kuepuka ili waende mapema vituoni.

Imeandaliwa na 

Kitengo cha TEHAMA(W) kwa kushirkiana na Afisa Habari(Mkoa)

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ASHIRIKIANA NA MAAFISA KUCHANGIA VIFAA VYA WANAFUNZI WA UMITASHUMTA NA UMISSETA

    May 13, 2025
  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.