• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

JTI YAKABIDHI Tsh. 235,622,500/= KWA AJILI YA UENDELEZAJI SHULE YA WASICHANA YA MARGARET SITTA.

Siku iliyowekwa: February 22nd, 2025

Mnamo tarehe 20.02.205 Kampuni ya Japan Tobacco International (JTI) ilikabidhi hundi ya mfano yenye thamani ya Tsh. 235,622,500/= kwa lengo la kuendeleza uboreshaji wa miundombinu mbalimbali ikiwemo uzio katika shule ya Wasichana ya Margaret Sitta.


Hundi hiyo imekabidhiwa katika hafla fupi iliyohusisha usomaji wa taarifa ya maendeleo ya shule hiyo tangu kuanzishwa kwake. Aidha kupitia taarifa hiyo, imebainika kuwa Shule hiyo imeleta mapinduzi makubwa katika sekta ya Elimu Wilayani Urambo, kwani imekuwa ikiongoza na kushika nafasi nzuri katika Mitihani ya Kitaifa. Ikumbukwe kuwa Shule hii ilijengwa na Kampuni ya JTI kupitia mpango wa kurudisha kwa Jamii ambapo zaidi ya Miliooni 900 ilitumika.

Aidha, Halfla hiyo ilihudhuriwa na Wageni mbalimbali akiwemo Mhe. Anne Makinda, Mhe. Dkt. Khamis Mkanachi - Mkuu wa Wilaya ya Urambo, Mhe. Margaret Sitta - Mbunge wa Jimbo la Urambo, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Urambo Ndg. Shabani Mussa, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Mhe. Adam Malunkwi, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Bi. Grace Quintine pamoja na Wataalamu mbalimbali kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Urambo.

Aidha ulikuwepo Uongozi wa kampuni ya JTI ambao ndiyo chachu ya mafanikio ya shule hiyo, ambapo umeonyesha kufurahishwa na ufaulu wa wanafunzi katika shule hiyo na kuahidi kuwa yote yaliyoombwa watayashughulikia kadiri itakavyowezekana kutokana na mafanikio yaliyofikiwa na shule hiyo.


Sambamba na hilo imeelezwa kuwa Kampuni ya JTI imekuwa kampuni Bora na ya Mfano kwa Makampuni mengi ya Tumbaku, ambapo hulipa wakulipa kwa Wakati na kuwasaidia Wakulima ili waweze kupata mavuno yaliyo bora. Hivyo kwa Kutambua mchango wa JTI kwa kujenga shule hiyo, Halmashauri ya Wilaya ya Urambon iliweza kuongeza Madarasa Matatu katika shule hiyo ya Kitaifa ya Wasichana.

Kazi iendelee

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ASHIRIKIANA NA MAAFISA KUCHANGIA VIFAA VYA WANAFUNZI WA UMITASHUMTA NA UMISSETA

    May 13, 2025
  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.