• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Kamati ya Usalama Mkoa wa Tabora imetembelea miradi Urambo

Siku iliyowekwa: July 19th, 2024

Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Tabora  imefanya Ziara katika Wilaya ya Urambo kwa ajili ya kukagua Miradi itakayopitiwa na Mwenge wa Uhuru mwaka 2024. Kamati hiyo iliyoongozwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora Ndg. Dkt. John Rogath Mboya Pamoja na Timu ya wataalamu mbalimbali imekagua Miradi hiyo itakayopitiwa na Mwenge wa Uhuru mwaka 2024.

Aidha, Kamati hiyo iliambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama kutoka Wilayani Urambo inayoongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Urambo Dkt. Khamis Athumani Mkanachi pamoja na wataalamu kutoka Taasisi mbalimbali ikiwemo RUWASA na TARURA. Aidha Ziara hiyo ilijumuishaTimu ya wataalamu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Urambo ikiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Bi. Grace Quintine.

Mkuu wa Wilaya ya Urambo Mhe. Dkt. Khamis Athumani Mkanachi ameieleza Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Tabora kuwa Wilaya ya Urambo inatarajia Kuukimbiza Mwenge wa Uhuru kwa Umbali wa Kilomita 98 na Kupitia Miradi yenye thamani ya Jumla ya Tsh Bilioni 8.297. Pamoja na Hilo Dkt. Mkanachi amesisitiza kuwa Urambo itaendelea kuongoza Kitaifa kama ambavyo ilifanya mwaka jana (2023) kwani Urambo imejiandaa vyema kuupokea na kuukimbiza Mwenge wa Uhuru.

Miradi inayotarajia kupitiwa na Mwenge wa Uhuru mwaka 2024 inajumuisha Shamba la miti la Imalamakoye lenye thamani ya Tsh. 58,563,500.00, Shule ya Sekondari Igunguli yenye thamani ya Tsh 603,890,562.00 fedha kutoka Mradi wa SEQUIP, mradi wa Bwawa la Maji katika Kijiji cha Kalemela "A" wenye thamani ya Bilioni 5.9 fedha kutoka Serikali Kuu, Ujenzi wa Vibanda 20 vya Biashara Katika Stendi ya mabasi vyenye thamani ya Tsh 110,000,000.00 fedha kutoka Mapato ya ndani, Majengo Manne katika Hospitali ya Wilaya ya Urambo yenye thamani ya Tsh 900,000,000.00 fedha kutoka Serikali Kuu, Mradi wa Ujenzi wa Barabara kwa kiwango cha lami wenye thamani ya Tsh 712,000,000.00 Fedha kutoka Serikali Kuu, Mradi wa Kikundi cha Vijana waendesha pikipiki za abiria (Bodaboda) cha UMOJA MATANKI MANNE Mradi wenye thamani ya Tsh 13,000,000.00 fedha kutoka Mapato ya ndani. Aidha katika Miradi hiyo Miradi Minne (4) itawekewa Jiwe la Msingi, Miradi Miwili (2) Itazinduliwa na Miradi Miwili itatembelewa ili kutazama Shughuli zinazoendelea katika Miradi Hiyo.

Pamoja na kukagua Miradi hiyo Kamati hiyo ilipata wasaa wa kukagua eneo la mapokezi na Mkesha wa Mwenge wa Uhuru na Kamati hiyo ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Tabora ilitoa maoni yake kuhusu Utayari wa Miradi hiyo katika Kuelekea mapokezi na Mbio za Mwenge wa Uhuru Mkoani Tabora na Wilayani Urambo.

Aidha Wananchi wa Urambo wanasisitizwa kushiriki kikamilifu katika Maandalizi ya kuupokea na kuukimbiza Mwenge wa Uhuru Wilayani Urambo, kwani Mwenge wa Uhuru ni Mali ya Watanzania wote. Ziara hii ni muendelezo wa maandalizi ya Kuupokea Mwenge wa Uhuru Mkoani Tabora Mwezi Agosti, 2024.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ASHIRIKIANA NA MAAFISA KUCHANGIA VIFAA VYA WANAFUNZI WA UMITASHUMTA NA UMISSETA

    May 13, 2025
  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.