• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

MBUNGE WA JIMBO LA URAMBO MHE. MARGARET SITTA, AFANYA KIKAO NA WATUMISHI H/W YA URAMBO

Siku iliyowekwa: February 28th, 2025

Urambo, Tabora.


"Ahsante Mhe. Margaret Sitta, ni Wabunge wachache sana Wanaojali na kuwasikiliza Watumishi wa Umma"

Hayo yamezungumzwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Bi. Grace Quintine katika kikao maalumu cha Mbunge wa jimbo la Urambo Mhe. Margaret Sitta pamoja na Watumishi wa Makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Urambo. Kikao hicho kimefanyika leo tarehe 28.02.2025 katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo, ambapo ni kikao maalumu kwa ajili ya kusikiliza changamoto zinazowakumba watumishi wa Umma katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku.

Aidha Bi. Grace Quintine amempongeza Mbunge wa Jimbo la Urambo kwa juhudi zake za dhati za kutatua changamoto mbalimbali ikiwemo Maji, Umeme na Elimu, changamoto ambazo zinawagusa Watumishi wa Umma moja kwa moja kama Wananchi wa Urambo. Pamoja na pongezi hizo Mkurugenzi Quintine alisema kuwa anaamini changamoto mbalimbali zilizosikilizwa na Mhe. Mbunge zitakwenda kutatuliwa kutokana na uzoefu wake na nia ya dhati ya kuzitatua.


Sambamba na hilo Mhe. Margareth Sitta alieleza kuwa ataendelea kuzipokea na kuzishughulikia changamoto hizo kadiri itakavyowezekana.


Aidha Mhe. Mbunge ameendelea kufanya vikao na watumishi ambapo aliweza kufanya kikao pamoja na watoa huduma za afya katika Hospitali ya Wilaya ya Urambo ambao kwa pamoja wameungana na Watumishi wa Makao makuu kwa kutoa shukrani kwa vikao hivyo ambavyo ni nadra sana kufanywa na Waheshimiwa Wabunge.

Kwa upande wake Mhe. Mbunge wa Jimbo la Urambo Mhe. Margaret Simwanza Sitta amempongeza Mkurugenzi Mtendaji Bi. Grace Quintine kwa ufuatiliji wake wa karibu wa fedha za Miradi zinazoletwa kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Urambo kwa lengo la kuboresha huduma kwa Watanzania wa Urambo.

Kazi iendelee

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ASHIRIKIANA NA MAAFISA KUCHANGIA VIFAA VYA WANAFUNZI WA UMITASHUMTA NA UMISSETA

    May 13, 2025
  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.