• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

Siku iliyowekwa: April 25th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Urambo Mhe. Dkt. Khamis Mkanachi amezindua Zahanati ya Kinhwa iliyopo kata ya KIloleni Wilayani Urambo na kuwapongeza Viongozi wa Kata na Wananchi wa Kata hiyo kwa ushirikiano wao katika Shughuli za Serikali.


Mhe. Dkt. Mkanachi alizindua Zahanati hiyo tarehe 25.04.2025 akiongozana na Katibu Tawala wa Wilaya, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya, Wataalamu kutoka Hospitali ya Wilaya ya Urambo katika Uzinduzi huo.

Wakati wa hotuba yake Mhe. Dkt. Mkanachi amesema ujenzi wa Zahanati hiyo ni Lengo la Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan la kusogeza huduma za afya karibu na Wananchi.


Mhe. Dkt. Mkanachi aliagiza Jeshi la Sungusungu kuhakikisha linaweka ulinzi wa hali ya juu kulinda Zahanati hiyo ambayo imewekewa vifaa tiba bora kwa ajili ya Wananchi wa Kinhwa na maeneo ya jirani.


Sambamba na hilo Diwani wa Kata ya Kiloleni Mhe. Salum Mtalu amemshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kusimamia vizuri maendeleo ya Wilaya ikiwemo kukamilika kwa Zahanati ya Kinhwa inayoenda kusaidia katika utoaji wa hudumua bora sa afya kwa wananchi. Aliendelea kwa kumwombea kwa Mungu ili aweze kufanikisha jitihada za kuleta maendeleo katika Wilaya ya Urambo.

Kwa upande wa Wananchi wa Kata hiyo wametoa Pongezi kwa Serikali ya awamu ya Sita kwa kuwajengea zahanati hiyo kwani mwanzo walikuwa wakifuata matibabu kwenye makao makuu ya Kata, hivyo kuzinduliwa kwa Zahanati hiyo kutarahisisha upatikanaji wa huduma za afya katika eneo hilo.


Aidha Kaimu Mganga Mkuu wa  Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Dkt. Gloria Dionis amesema faida ya Zahanati hiyo ni kutoa huduma ili kupunguza vifo vya wanawake wajawazito na Watoto, kuhudumia wazee wasioweza kwenda umbali mrefu pamoja na kutoa huduma kwa wananchi wa eneo hilo.


Ikumbukwe kuwa Zahanati ya Kinhwa hadi kukamilika kwake Fedha kiasi cha Tsh. Milioni Themanini na Tano imetumika, fedha hii ni kutoka Serikali kuu.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • URAMBO YAFANIKISHA KIKAO CHAKE CHA KWANZA KUPITIA E-BOARD

    April 17, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.