• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2025-2030
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ATEMBELEA ZAHANATI YA GEREZA LA KILIMO URAMBO

Siku iliyowekwa: September 20th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Bi. Grace Quintine ametembelea zahanati ya Gereza la Kilimo Urambo inayotoa huduma kwa Askari Magereza, Watumishi, Wafungwa pamoja na Wananchi wa vijiji na maeneo yanayozunguka Gereza hilo.

Bi. Grace Quintine amefanya ziara hiyo tarehe 18.09.2025, akiambatana na Mganga Mkuu wa Wilaya ya Urambo Dkt. David Manyama Nyambaya kwa ajili ya kukagua huduma zinazotolewa katika zahanati hiyo ili kujionea hali na Shughuli za Kitabibu zinazotolewa katika zahanati hiyo ya Gereza la Kilimo Urambo pamoja na Hali ya mazingira ya gereza la Nsenda.


Aidha Bi.Grace baada ya kukagua ameridhishwa na huduma zinazotolewa na kusisitiza kuendelea kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma za afya katika zahanati hiyo. Aidha zahanati hiyo hutoa huduma mbalimbali za awali na zile ambazo hutolewa katika ngazi ya Chini ikiwemo huduma ya wajawazito na watoto wachanga  kabla ya kufikishwa katika Vituo vya Afya na Hospitali ya Wilaya pale rufaa  itakapohijitajika.


Pia ameahidi kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo itaendelea kushirikiana kwa karibu na Gereza la kilimo na itaendelea kutoa kipaumbele katika Sekta ya afya kama ambavyo Serikali inavyoelekeza ili kuhakikisha huduma bora zinapatikana kwa Wananchi wote Urambo.

Aidha Mganga Mkuu wa Wilaya Dkt. David Manyama Nyambaya ameahidi kuhakikisha na kuendelea kutoa ushirikiano Mkubwa katika usimamizi shirikishi wa kusimamia huduma za Afya kati ya Magereza ya Nsenda na Halmashauri ya Wilaya.


Kwa upande wake Mkuu Gereza la Kilimo Urambo Joseph . W. Mzulama amemshukuruu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Bi Grace Quintine kwa  ushirikiano mkubwa anaoutoa kwa Gereza la Kilimo pamoja na kuitembelea zahanati hiyo, ili kuhakikisha huduma bora za afya zinapatikana kwa Askari Magereza, Watumishi, Wafungwa pamoja na wananchi wa maeneo ya jirani.

Kazi iendelee


Matangazo

  • TANGAZO MUHIMU KUHUSU UCHAGUZI MKUU 2025 September 17, 2025
  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED GRACE QUINTINE AWAPOKEA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

    September 29, 2025
  • WAFAMASIA NI WATU MUHIMU, NENDENI MKAFANYE KAZI KWA WELEDI

    September 25, 2025
  • MADAKTARI WA UTENGAMANO KUTOKA HOSPITALI YA KITETE WALETA FARAJA WILAYANI URAMBO

    September 25, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ATEMBELEA ZAHANATI YA GEREZA LA KILIMO URAMBO

    September 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.