• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Wadau wa Elimu Urambo Utoro shuleni Uwe Sufuri

Siku iliyowekwa: February 3rd, 2022

Na Edward C Rumanyika

Wadau wa Elimu Urambo, wamekutana katika kikao cha  kwanza kwa mwaka 2022 hii leo Februari 3, 2022 katika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Urambo na kuazimia kwa pamoja kukomesha utoro shuleni kwa kuzitaka mamlaka zinazosimamia nidhamu ya wanafunzi wakiwemo walimu, wazazi, wenyeviti wa vijiji na vitongoji, watendaji wa kata na vijiji, mwanasheria wa Halmashauri, jeshi la polisi kuhakikisha swala la utoro shuleni linadhibitiwa ili mahudhurio yafike asilimia 100

Akizungumza na Wadau wa Elimu, mwenyekiti wa kikao hicho ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya Urambo mhe. Louis Peter Bura amekemea baadhi ya tabia kwa watumishi, wazazi na walezi zinazoweza kupelekea kushuka kwa ufaulu wa wanafunzi na kupelekea wilaya kufanya vibaya katika matokeo ya mitihani ya ndani na ya Kitaifa.

Mhe. Bura amewataka Wadau wa Elimu hasa watendaji wa kata na vijiji kuweka kipaumbele na umuhimu wa kusimamia zoezi la upatikaji wa tofauri za akiba (benki ya matofari) katika kata na vijiji vyao kwa lengo la kusaidia ujenzi wa miradi ya elimu na afya kwa hatua za awali kabla ya serikali kumalizia hatua nyingine za ujenzi wa miradi hiyo, amesema anahamini  ikiwa serikali za vijiji zitakuwa na tofari za kutosha na kuanzisha ujenzi wa madarasa kwa ajili ya kupunguza msungamo wa wanafunzi darasani, Halmashauri na serikali haitosita kuchangia fedha kwa ajili ya ukamilishaji wa miradi hiyo. Kwa msisitizo amekemea tabia ya baadhi ya watendaji wazembe wanaoshindwa kusimamia maazimio ya vikao vya maendeleo kwa kusema "mtumishi ambae analipwa na serikali na anaongozwa na mimi, kama huwezi kuendana na kasi yangu, Mkurugenzi yuko hapa sema atakupangia kazi nyingine".

Pia amewataka Wadau wa Elimu pamoja na wazazi kuhakisha watoto wanapata chakula cha mchana shuleni ili kupunguza utoro na kuwaongezea wanafunzi utulivu wa kuwasilikiza walimu wao pindi wanapokuwa darasani, amewaomba viongozi wa Kamati ya Maendeleo ya Kata kuhakikisha swala la chakula kwa wanafunzi shueni inakuwa ajenda ya kudumu katika mikutano yao.

Aidha, amekemea tabia ya baadhi ya watumishi hasa walimu kukopa zaidi ya uwezo wao wa mishahara jambo linalopelea kushindwa kutulia, kufundisha na kumaliza mitaala kwa wakati. Mhe. Bura amemtaka mkuu wa jeshi la polisi na TAKUKURU Urambo  kubaini vikundi vinavyotoa mikopo bila utaratibu kwa kuweka riba kubwa na kuwatumia askali wa jeshi la polisi katika kurejesha mikopo hiyo kwa  kuwanyang'anya watumishi kadi za benki na thamani mbalimbali za nyumbani.

Awali akisoma taarifa ya maendeleo ya elimu kwa Wadau wa Elimu, Katibu wa Mfuko wa Elimu ambae ni Afisa Elimu Sekondari wilaya ya Urambo Bi. Sara Nalogwa amesema hali ya ufaulu katika mitihani ya upimaji wa Kitaifa kwa mwaka 2021 umepanda kwa shule za msingi na sekondari. Kwa shule za msingi mwaka 2021 ufaulu Darasa la 7 ni asilimia 83.5 wakati mwaka 2020 ufaulu ulikuwa asilimia 81.4  na kwa shule za sekondari mwaka 2021 ufaulu ni asilimia 90.2 wakati mwaka 2020 ufaulu ilikuwa asilimia 88.5.

Akizungumza kwa niaba ya Wadau wa Elimu, mama mzazi Bi. Christina Ndituye  wa mwanafunzi bora Dawasa Daudi Kawawa katika mtihani wa Taifa datasa la saba 2021  amewapongeza walimu wa shule ya msingi Songambele, Idara ya Elimu na viongozi wa Halmashauri kwa kumlea mtoto wake vizuri na kuweza kufaulu kwa kupata alama 279 kati ya 300 na kuwaomba Wadau wa Elimu Urambo kumwombea mwanae ili ndoto zake zikatimie na Mungu akijali arudi Urambo kuwatumikia wananchi na Taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • URAMBO YAFANIKISHA KIKAO CHAKE CHA KWANZA KUPITIA E-BOARD

    April 17, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.