• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2025-2030
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

WAFAMASIA NI WATU MUHIMU, NENDENI MKAFANYE KAZI KWA WELEDI

Siku iliyowekwa: September 25th, 2025

Kauli hiyo imetolewa na Mganga Mkuu wa Wilaya ya Urambo Dkt. David Manyama, Mgeni Rasmi wa Maadhimisho ya Siku ya Wafamasia Duniani kwa ngazi ya Wilaya ya Urambo.


Dkt. David Manyama amewaeleza wafamasia waliojumuika pamoja  katika maadhimisho hayo huku akiwaeleza kuwa  Mfamasia ni mtu muhimu ambaye hukamilisha matibabu ya mgonjwa, kwani mfamasia hutoa maelekezo muhimu ya namna ya matumizi ya dawa alizopatiwa, hivyo endapo mfamasia hatompa maelekezo kamili mgonjwa ni ngumu mtu huyo kupona.


Aidha. Dkt. Manyama aliendelea kwa kuwapongeza kwa kuifanya siku ya Wafamasia ndani ya Wilaya ya Urambo kufana, na kuwaelekeza kuwa ni muhimu kwa wafamasia kufanya kazi kwa weledi na kuzingatia sheria, kanuni na miongozo ya utoaji wa huduma kwa jamii ili kuwasaidia wananchi wanaofuata huduma ya Matibabu.


"Tunaamini kabisa, bila wafamasia kazi yetu inaishia katikati. Nyie ni kiungo kikubwa sana kati yetu sisi madaktari pamoja na wagonjwa na wateja. Nitumie nafasi hii kuwahitaji mfanye hizi kazi kwa weledi, muende mkafanye kazi kwa kufuata miongozo, taratibu na kanuni na maelezo yawe mazuri ili kuepuka madhara kwa mgonjwa au mteja" amesema Dkt. David Manyama.


Aidha Siku ya Wafamasia duniani imeadhimishwa tarehe 25.09.2025 ikisindikizwa na kauli mbiu isemayo "Ukifikiria Afya, Mfikirie Mfamasia", ambapo Wafamasia wa Wilaya ya Urambo wakiongoza na Mfamasia wa Wilaya Bw. Anthony Benard wameiadhimisha kwa matembezi ya pamoja na utoaji wa elimu kwa wananchi juu ya madhara ya matumizi holela ya dawa.


"Ukifikiria Afya, Mfikirie Mfamasia"

Matangazo

  • TANGAZO MUHIMU KUHUSU UCHAGUZI MKUU 2025 September 17, 2025
  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED GRACE QUINTINE AWAPOKEA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

    September 29, 2025
  • WAFAMASIA NI WATU MUHIMU, NENDENI MKAFANYE KAZI KWA WELEDI

    September 25, 2025
  • MADAKTARI WA UTENGAMANO KUTOKA HOSPITALI YA KITETE WALETA FARAJA WILAYANI URAMBO

    September 25, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ATEMBELEA ZAHANATI YA GEREZA LA KILIMO URAMBO

    September 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.