• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Wajasiliamali Urambo wapata mkopo wa Tsh 114,683,000

Siku iliyowekwa: February 1st, 2022

Wajasiliamali Urambo wapata mkopo wa Tsh 114,683,000

Na Edward C Rumanyika

Katibu Tawala wa wilaya ya Urambo Ndg Paschal Byemelwa,  kwa niaba ya mkuu wa wilaya ya Urambo amekabidhi vifaa na bidhaa mbalimbali zenye jumla ya thamani ya Tsh 114,683,000 kwa vikundi 9 vya wajasiliamali ambapo vikundi 4 ni wanawake na vikundi 5 ni vya vijana. Hafla hii imefanyika  baada ya Mkutano wa  kawaida wa baraza la Madiwani kwa kipindi cha robo ya 2 ya mwaka wa fedha 2021/2022.  Vifaa hivyo ni pamoja na pikipiki 28 zenye thamani ya Tsh 72,800,000, bajaji 2 (gurudumu tatu) za kubebea mizigo zenye thamani ya Tsh 15,000,000, Urembo wa kutengeneza Mikoba, viatu, vikapu na pochi vyenye thamani ya Tsh 15,000,000, Mizinga 50 ya nyuki yenye thamani ya Tsh 3,610,000, vipuli vya mashine ya kusindika mafuta ya alizeti vyenye thamani ya Tsh 3,000,000, Bidhaa za kutengeneza sabuni na usindikaji wa nafaka thamani ya Tsh 5,273,000.

Ndg. Byemelwa ameipongeza Halmashauri ya wilaya ya Urambo kwa kuzingantia Sheria ya Fedha ya mwaka 2018 ya kuhakisha inatenga fedha asilimia 10 ya mapato yake ya ndani kwa ajili ya mikopo ya vikundi vya wajasiliamali vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu.

Halikadhalika Ndg. Byemelwa amempongeza Mkurugenzi mtendaji na timu yake ya menejimenti kwa jitihada wanazozionyesha za ukusanyaji wa mapato ya ndani ya Halmashauri kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maemdeleo na kusimamia vyema bajeti kwa kutenga asilimia 10 ya kila fedha inayokusanywa kwa mwaka wa fedha husika.

Amesisitiza "Nimefurahishwa na uamuzi wenu wahe madiwani wa kuwapatia vikundi hivi vitedea kazi badala fedha, kwa kufanya hivyo mmeisaidia serikali katika kupunguza tatizo la ajira maana nina imani kupitia vyombo hivi na vifaa hivi tayari mmetengeneza ajira kwa akina mama na vijana wetu wa urambo"

Awali akisoma taarifa ya ukopeshaji na urejeshaji wa mikopo inayotolewa na Halmashauri, Mkuu wa Idara ya maendeleo ya Jamii Ndg. Osear Mwabusila amesema kuna vikundi 3 vinastahili kupewa cheti cha pongezi kwa sababu vilifanya vizuri kwa kurejesha deni lao miezi miwili kabla ya muda wa marejesho kuisha, vikundi hivyo ni Motomoto Msengesi kata ya Uyumbu kijiji cha Msengesi, Mashujaa group kata ya Ukondamoyo kijiji cha Tumaini na Amka Investment kata ya Nsenda kijiji cha Itebulanda.

Akizungumza kwa niaba ya vikundi vilivyonufaika na mkopo huo, kiongozi wa kikundi cha Amka Investment Ndg. Simon Gabriel Ngayabosha kwa furaha kubwa  ameshukuru Uongozi wa Halmashauri ya wilaya ya Urambo, serikali ya wamau ya sita  na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kuwaletea viongozi wenye maono na kuwaji wananchi kwani wanawasidia kupunguza umaskini na kuboresha maisha ya mtu mmoja mmoja na jami nzima kwa ujumla.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • URAMBO YAFANIKISHA KIKAO CHAKE CHA KWANZA KUPITIA E-BOARD

    April 17, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.