• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

WANANCHI WA KATA YA UGALA WAUPOKEA KWA MIKONO MIWILI MRADI WA KITUO CHA AFYA

Siku iliyowekwa: June 18th, 2025

Wananchi wa Kata ya Ugala Wilayani Urambo, wameonyesha furaha yao na kusema kuwa wameupokea mradi wa kituo kipya cha Afya katika Kata hiyo.


Wananchi hao wameonyesha furaha hiyo wakati ambao timu ya Wataalamu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Urambo iliyoongozwa na Mwakilishi wa Mkurugenzi Bw. Sadoki Magesa, ilipokwenda kutambulisha Mradi huo kwa wananchi pamoja na kutoa mafunzo kwa Kamati za utekelezaji wa mradi huo.


Aidha mradi wa ujenzi wa kituo kipya cha Afya katika kata ya Ugala, unatarajia kupokea fedha jumla ya Tsh. Milioni 500 kwa awamu mbili, ambapo kwa sasa Tsh. Milioni 250 zimeletwa na Serikali kwa ajili ya kuanza ujenzi wa Mradi.


Akizungumza juu ya mradi huo, Diwani wa Kata ya Ugala Mhe. Lifa Sitta amesema kuwa, wamejiandaa vyema kuchangia nguvu kazi ili kuhakikisha mafanikio ya Mradi huo yanafikiwa na kurahisisha utoaji wa huduma za afya kwa wananchi wa Kata ya Ugala.


Katika hatua nyingine,

UJENZI WA KITUO KIPYA KATA YA NSENDA UNAENDELEA KWA KASI

Hali ya ujenzi wa Kituo kipya cha Afya kata ya Nsenda Wilayani Urambo unaendelea kwa kasi, ikiwa ni siku chache tangu mradi huo utbulishwe kwa wananchi.


Mradi huo wenye thamani ya Tsh. 686,135,134, upo katika hatua ya Msingi na unatarajia kusaidia kwa kuokoa vifo vya wajawazito na watoto wachanga na malemgo mengine mengi.


Aidha, mradi wa ujenzi wa kituo cha Afya katika Kata ya Nsenda umekuja sambamba na mradi wa ujenzi wa kItuo kipya cha Afya katika kata ya Ugala, na kupelekea Wilaya ya Urambo kuwa na vituo 7 vya Afya.


Ikumbukwe kuwa, kupatikana kwa miradi hii ya Afya ni kutokana na juhudi za Mbunge Mhe. margaret Sitta pamoja na Serikali katika kuhakikisha Wananchi wanapata huduma bora za afya.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ONE STOP CENTER KUWA MWAROBAINI WA MATUKIO YA UKATILI WA KIJINSIA URAMBO.

    June 25, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI H/W URAMBO

    June 23, 2025
  • MADIWANI URAMBO WAAGWA

    June 20, 2025
  • WANANCHI WA KATA YA UGALA WAUPOKEA KWA MIKONO MIWILI MRADI WA KITUO CHA AFYA

    June 18, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.