Siku iliyowekwa: June 18th, 2025
Wananchi wa Kata ya Ugala Wilayani Urambo, wameonyesha furaha yao na kusema kuwa wameupokea mradi wa kituo kipya cha Afya katika Kata hiyo.
Wananchi hao wameonyesha furaha hiyo wakati amba...
Siku iliyowekwa: June 17th, 2025
Urambo - Tabora.
Kamati ya Siasa Mkoa wa Tabora kupitia mwenyekiti wake Ndugu. Said Juma Nkumba, imesisitiza juu ya uelimishwaji wa wananchi juu ya umuhimu wa kutunza miundombinu ya ...
Siku iliyowekwa: June 13th, 2025
Halmashauri ya Wilaya ya Urambo imepokea pongezi kwa kupata hati safi, usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo pamoja na kukusanya vyema mapato ya Halmashauri kutoka katika vyanzo mbalimbali.
...