Siku iliyowekwa: January 28th, 2025
Mnamo tarehe 28.01.2025 Ulifanyika Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi, likiwa na lengo kuu la kupitia rasimu ya mpango wa Bajeti wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026.
...
Siku iliyowekwa: January 17th, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Urambo Mhe. Dkt. Khamis Mkanachi amezindua zoezi la utoaji wa Gesi za Ruzuku kwa wananchi Wilayani Urambo tarehe 16.01.2025.
Gesi hizi za Ruzuku zimeletwa chini ya Mpango...
Siku iliyowekwa: January 15th, 2025
Ikumbukwe Serikali ilisitisha utoaji wa Mikopo kwa ajili ya Wanawake, Vijana na watu wenye Ulemavu ili kuweka miongozo na kanuni madhubuti juu ya utoaji na urejeshaji wa mikopo hiyo.
Hata ...