Siku iliyowekwa: July 19th, 2024
Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Tabora imefanya Ziara katika Wilaya ya Urambo kwa ajili ya kukagua Miradi itakayopitiwa na Mwenge wa Uhuru mwaka 2024. Kamati hiyo iliyoongozwa na Katibu T...
Siku iliyowekwa: July 16th, 2024
Halmashauri ya Wilaya ya Urambo imepokea fedha kwa ajili ya Utekelezaji wa Miradi 10 ya Elimu, fedha jumla ya Shilingi Bilioni 3.6
Miradi hii imeweza kutambulishwa katika kikao kazi kilichofanyika ...
Siku iliyowekwa: June 20th, 2024
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Bi. Grace Quintine amefanya kikao na Walimu Wakuu wa Shule za Sekondari, ambapo kikao hicho kimejikita katika Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo ...