Siku iliyowekwa: June 12th, 2024
“Niwaombe sana Muilinde Miradi hii ya Maji, Serikali inatumia Fedha nyingi kuleta Mradi Mkubwa kama huu wa maji” Maneno hayo yamezungumzwa na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Paul Matiko Chacha alipotembel...
Siku iliyowekwa: June 10th, 2024
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Urambo Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Uhifadhi Elibariki Bajuta amefanya makabidhiano ya ofisi kwa Mkuu wa Wilaya ya Urambo aliyeteuliwa hivi karibuni Dkt. Khamis Athumani...
Siku iliyowekwa: June 9th, 2024
Mwalimu ni mtu muhimu na mwenye thamani kubwa hapa nchini kwani hufanya mengi na Taifa linawategemea. Hiyo ndiyo sababu hata Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere enzi za uhai wake, ha...