• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Kata ya Ugalla

TAARIFA YA KATA YA UGALLA.

Kata  ya Ugalla ni miongoni mwa kata 18 zinanazouda wilaya ya urambo. Kata hii pia imeundwa na vijiji vitatu (3) ambavyo ni kijiji cha Isongwa, Izengabatogilwe na kijiji cha Ugalla. Kata hii imepakana na kata ya Uyumbu kwa upande Wa Mashariki,Magharibi tumepakana na kata ya Kasisi, kaskazini tumepakana na Ussoke na upande Wa kusini tumepakana hifadhi ya North Ugalla. Hata hivyo kata hii ipo umbali Wa km 15 kutoka Barabara kuu iendayo mkoan tabora ukianzia Ussoke.

Jedwali 1: MAWASILIANO YA VIONGOZI / WATENDAJI KATA YA NSENDA

KADA/CHEO

SIMU

KADA/CHEO

SIMU

Mhe. DIWANI

0755551613

Mwl MKUU ISONGWA S/M

0620650827

MTENDAJI WA KATA

0622597586

0759824517

Mwl MKUU UGALLA S/M

0620585495

AFISA ELIMU KATA

0757937234

MWENEYEKI: ISONGWA

0627769973

AFISA MIFUGO

0752428765

MWENEYEKI: UGALLA

0754458922

MWENEYEKI: IZENGABATOGILWE

0624887724

MTENDAJI KIJIJI UGALLA

0620585917

MGANGA:  ISONGWA

0759944423

Mwl Mkuu: IZENGABATOGILWE S/M

0629657114

MGANGA: IZENGABATOGILWE

0755163256

VEO: IZENGABATOGILWE

0621468051

UTAWALA 

IDADI YA WATU.

JINA LA KIJIJI
JUMLA  YA KAYA
ME
KE
JUMLA
Isongwa
545
2721
2675
5396
Izengabatogilwe
380
1344
1583
2927
Ugalla
364
695
870
1565
JUMLA KUU KIKATA.
1289
4760
5128
9888

N:B kata ya Ugalla Inajumla ya vitongoji 12 ambavyo vyote vinaongozwa na wenyeviti Wa vitongoji ambao hupatikana kupitia uchaguzi Wa serikali za mitaa.

  • Jedwari kuonyesha vitongoji
JINA LA KIJIJI
JINA LA KITONGOJI
JINA LA KITONGOJI
JINA LA KITONGOJI
JINA LA KITONGOJI
JINA LA KITONGOJI
Isongwa
Isongwa kati
Beringi
Wafuke
Ukuga

Izengabatogilwe
Mtakuja
Ujamaa
Gimagi
Imarampaka
Imarauduki
Ugalla
Ugalla
Bloko
Ruyembe


  • 2. UONGOZI NA WATUMISHI.
  • kata hii inaviongozi Wa kisiasa na watumishi Wa umma ambao wote kwa pamoja hushirikiana katika shuguli mbalimbali za maendereo.
  • Jedwari kuonyesha viongozi Wa kisiasa.
MADIWAN
W/VITI WA VIJIJI
W/VITI VITONGOJI
WAJUMBE S/KIJIJI
     1
       3
       12
     66
  • Jedwari kuonyesha watumishi Wa umma
WATENDAJI WA VIJIJI
MTENAJI WA KATA
AFISA ELIMU KATA
WALIMU
WAUGUZI
KILIMO
    2
    1
     1
    23
   4
1
  • Jedwari kuonyesha Taasisi zote zilizopo kata ya Ugalla
SHULE ZA MSINGI
    ZAHANATI
OFISI ZA SERIKALI
VYAMA VYA MSINGI
ISONGWA S/M
ISONGWA
S/KIJIJI ISONGWA
NGUVUMALI AMCOS
UGALLA S/M
IZENGABATOGILWE
S/KIJIJI UGALLA
UGALLA AMCOS
IZENGABATOGILWE S/M
   
        —
S/KIJIJI IZENGA
UGALLA BEEKEEPERS GROUP

 

3. SEKTA YA ELIMU.

Kata yetu inazo taasisi tatu tu (3) za elimu ambazo wananchi wetu hujipatia elimu hapo. Taasisi hizo ni hizi hapa

  • Isongwa S/M
  • Izengabatogilwe S/M
  • Ugalla S/M

Note:- Kata yetu ya Ugalla haina shule ya sekondari kwasasa. Tunatumia sekondari ya kata iliyopo jirani yetu kata ya uyumbu. Ila ujenzi unaenderea natayari tunayo madarasa matatu na nyumba ya mwalimu moja.

Taarifa nyingine za elimu ni:-

  • Uandikishaji elimu ya awali ni watoto 155 sawa na 98% ya malengo yetu.
  • Uandikishaji Wa Elimu ya msingi ni watoto 461 kwa shule zote ambapo nisawa na 102%.
  • Uandikishaji Wa elimu ya sekondari kidato cha kwanza in watoto 55 sawa na 92%.
  • 4. SEKTA YA KILIMO
  • Kata ya Ugalla inayo maeneo ya kutosha kwa shuguli za kilimo na ufugaji. Hatahivo wananchi Wa Ugalla wanajishugulisha zaidi na kilimo na ufugaji na biashara.
  • Mazao ya chakula ni mahindi,maharage,mihogo,viazi vitamu,Mpunga,choroko na Katanga.
  • Mazao ya biashara no Tumbaku,Pamba Mahindi, Katanga pamoja na Asali.
  • MIFUGO
  • wakazi Wa Ugalla hujishugulisha na shuguliza ufugaji.
  • Jedwari kuonyesha Mifugo
  NG'OMBE
   MBUZI
PUNDA
   MBWA
WAFUGANYUKI
   9497
   2703
     11
    609
      67

Note: kata ya Ugalla inavyo vyama vya msingi vitatu ambavyo huwahudumia wananchi wetu ktk kuuza mazao yanayopatikana kwa wakulima wetu.

  • Jedwari kuonyesha vyama vya msingi
JINA LA CHAMA CHA MSINGI
IDADI YA WANACHAMA
ZAO WANALOSHUGULIKA NALO
NGUVUMALI AMCOS
170
TUMBAKU
UGALLA AMCOS
62
TUMBAKU
UGALLA BEEKEEPERS GROUP
21
ASALI MBICHI NA NTA

5. SEKTA YA AFYA.

Tunazo zahanati mbili amabazo ni zahanati ya ISONGWA ipo kijiji cha Ugalla na zahanati ya IZENGABATOGILWE ipo kijiji cha Izengabatogilwe. Zahanati zote hizi huwahudumia wananchi wetu Huduma zifuatazo:-

  • OPD (wagonjwa Wa nje)
  • RCH (mama,baba na mtoto)
  • Upimaji Wa VVU na ushauri nasaha
  • Upimaji Wa malaria
  • Kuzalisha.

6. SEKTA YA MAJI.

Hali ya upatikanaji Wa maji kwenye kata yetu niwakawaida. Jedwari hapo chini linafafanua

VISIMA ASILI
VISIMA VILIVYOENDELEZWA
VISIMA VYENYE PAMP
MABWAWA
JUMLA
      44
     09
    11
  2
    66

7. SEKTA YA UJENZI/MIUNDOMBINU

  • Barabara za vijiji ni km 23
  • Barabara za wilaya hakuna,
  • Uwepo Wa mitandao ya simu kama vile voda,halotel.

 

8. FULSA AU VIVUTIO TULIVYONAVYO

  • Hifadhi ya wanamapori ya North Ugalla.
  • Uwepo Wa mto UGALLA ambao ni mto maarufu kwa uvuvi Wa samaki watamu.
  • Uwepo Wa misitu asili inayowawezesha wakazi kufuga Mifugo na Nyuki.
  • Uwepo Wa Aridhi yenye rutuba inayostawi mazao mengi.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ASHIRIKIANA NA MAAFISA KUCHANGIA VIFAA VYA WANAFUNZI WA UMITASHUMTA NA UMISSETA

    May 13, 2025
  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.