• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Kilimo

FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA MAZAO –WILAYA YA URAMBO.

UTANGULIZI. 


Wilaya ya Urambo ina jumla ya hekta 87,984 zinazofaa kwa kilimo, kati ya hizo hekta 10,400 zinafaa kwa kilimo cha Umwagiliaji eneo hili ni sawa na 11.8% ya eneo linalofaa kwa kilimo. Kati ya eneo linalofaa kwa kilimo ni hekta zisizozidi 59,000 ndiyo zinazolimwa sawa na 67%. Hivyo kaya za wakulima Wilayani Urambo zina wastani wa ekari 2 kwa ajili ya kilimo. Wilaya ya Urambo hupata mvua kiasi cha mm 600 hadi mm 1,200 kwa mwaka.
Hali ya hewa, udongo na mazingira Urambo inaruhusu ustawishaji mzuri wa mazao ya biashara kama Tumbaku, karanga, alizeti, pamba na korosho. Mazao ya chakula ni mahindi, mpunga, viazi vitamu na mhogo.




 

 FURSA ZA KIBIASHARA  KATIKA MAZAO

A. RASLIMALI ZINAZOWEZESHA KUWEKEZA KIWANDA CHA TUMBAKU 

WATU: Kuna kaya za wakulima 30,700 kati ya kaya zote 35,024.

Idadi ya watu ambao ni wakulima ni 64,000 kati ya watu 225,664

Idadi ya wakulima wa tumbaku kutoka kwenye Vyama Vya Msingi (AMCOS) 55 ni 10,642

ARDHI: Eneo linalofaa kwa kilimo ni Hekta 87,984 kati ya eneo lote la wilaya lenye Hekta 611,000.

  • Eneo linalolimwa mazao yote halizidi Hekta 60,000
  • Eneo linalolimwa tumbaku kwa sasa kwa Vyama Vya Msingi (AMCOS) 26 vyenye wakulima wa tumbaku 5,282 ni hekta 4,500
  • Kuna miundo mbinu ya kukaushia tumbaku (mabani) 25,146: ya kizamani 12,514,yaliyoboreshwa 8,204 na ya kisasa 4,428
  • Kuna ardhi inayofaa kwa kuendesha kilimo cha mashamba makubwa ya  tumbaku

ENEO LA UJENZI WA KIWANDA:

Kuna eneo la Hekta 32 lililotengwa, kwa ajili ya ujenzi wa kiwanda cha tumbaku

MIUNDO MBINU ILIYOPO ENEO LA KIWANDA: 

  • Reli
  • Barabara ya lami
  • Umeme
  • Maji
  • Maghala ya kuhifadhi na kufanyia masoko ya tumbaku

UZALISHAJI WA TUMBAKU: Wilaya ya Urambo inao uwezo wa kuzalisha zaidi ya kilo 15,000,000 kwa mwaka, kwa kutumia Vyama vya Msingi (AMCOS) 55 vilivyopo Urambo

KWANI KIWANDA URAMBO: 

  • Ni eneo la kimkakati. Urambo ipo katikati mwa maeneo makuu ya uzalishaji wa tumbaku, yenye uwezo wa kuzalishaji zaidi ya kilogramu 150,000,000 kwa mwaka.
  • Vyama vikuu vya uzalishaji wa tumbaku:

Kiwanda cha tumbaku kikijengwa Urambo, kutokana na kuwa eneo la  katikati kwa ushirikishwaji, kinaweza kuchakata tumbaku kutoka Vyama Vikuu Vya Ushirika vya:

  1. WETCU LTD (Tabora): uzalishaji wake ni 12,380,000Kgs
  2. CHUTCU LTD (Chunya): uzalishaji wake ni  10,720,000Kgs
  3. KACU LTD(Kahama): uzalishaji wake ni 6,400,000Kgs
  4. LATCU LTD (Katavi): uzalishaji wake ni 5,650,000Kgs
  5. KATCULTD (Kigoma) : Uzalishaji ni3,991,705 Kgs
  6. MBCU LTD (Geita): Uzalishaji ni 416,000 Kgs
  7. CCU LTD (Chato) : Uzalishaji ni 184,000Kgs
  8. MIRAMBO CU LTD (Urambo): uzalishaji wake ni 14,901,860Kgs

MAMBO YA KUFANYA  KABLA YA UWEKEZAJI WA KIWANDA CHA TUMBAKU URAMBO

  • Upembuzi yakinifu
  • Tathmini ya athari ya mazingira
  • Fidia kwa wamiliki wa maeneo


Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ASHIRIKIANA NA MAAFISA KUCHANGIA VIFAA VYA WANAFUNZI WA UMITASHUMTA NA UMISSETA

    May 13, 2025
  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.