• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2025-2030
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

CMT URAMBO YADHAMIRIA KUINUA PATO LA HALMASHAURI KUPITIA UWEKEZAJI

Siku iliyowekwa: October 8th, 2025

Urambo, Tabora.


Wakuu wa divisheni na vitengo vya Halmashauri ya Wilaya ya Urambo, tarehe 06.10.2025 wamefanya ziara ya kutembelea maeneo tarajiwa ya Uwekezaji na ujenzi wa Miradi ya maendeleo yenye zaidi ya ekari 85 katika kata za Ussoke, Kapilula na Urambo.


Ziara hiyo iliyoongozwa na Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Bw. Alex Marandu ililenga kubaini na kutazama maeneo hayo yaliyotengwa ili kutumia vyema fursa zilizopo na kuinua pato la Halmashauri.


Aidha Bw. Marandu amesisitiza Watendaji wa Kata kuendelea kutenga maeneo mengi zaidi makubwa kwa ajili ya uhakika wa Upatikanaji wake pale maeneo hayo yatakapohitajika iwe ni kwa ajili ya kuwekeza au ujenzi wa miradi mbalimbali ya kimaendeleo.


Katika ziara hiyo, CMT iliweza kutembelea maeneo mbalimbali ikiwemo eneo la St. Vincent ambapo Jengo jipya la Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji linatarajia kujengwa kuanzia mwaka huu wa fedha (2025/2026).

Aidha katika ziara hiyo wakuu wa idara walitembelea sehemu maalumu iliyotengwa kwa ajili ya kuhifadhia taka ngumu na laini, ambapo waliweza pia kutoa ushauri wa kuliwezesha dampo hilo liwe katika ubora kulingana na bajeti ya Halmashauri iliyowekwa.


Pamoja na kuwaonesha maeneo hayo ya uwekezaji na ujenzi wa Miradi ya maendeleo, Afisa Ardhi Wilaya ya Urambo Bw. Ernest Mwakang'ata, aliweza kuwaeleza Wajumbe wa CMT kuwa, Halmashauri ya Wilaya ya Urambo bado inayo nafasi ya kuwekeza zaidi kupitia maeneo yaliyopo, hivyo Halmashauri isisite kuendelea kutenga maeneo zaidi kwa ajili ya shughuli hizo za Miradi ya maendeleo na uwekezaji.

Matangazo

  • TANGAZO MUHIMU KUHUSU UCHAGUZI MKUU 2025 September 17, 2025
  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • CMT URAMBO YADHAMIRIA KUINUA PATO LA HALMASHAURI KUPITIA UWEKEZAJI

    October 08, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA MAMA SAMIA WAACHA ALAMA URAMBO

    October 04, 2025
  • DED URAMBO AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA BILILONI 3.5

    October 02, 2025
  • DED GRACE QUINTINE AWAPOKEA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

    September 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.