• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Elimu sekondari


1. UTANGULIZI

Idara ya Elimu Sekondari ilianzishwa mwaka 2005 katika Halmashauri ya Wilaya ya Urambo.Lengo lilikuwa ni kusogeza huduma ya Elimu ya Sekondari karibu na wananchi na walimu wa Sekondari ili kuongeza ubora kwenye huduma ya Elimu.

Halmashauri ya Wilaya ya Urambo ina jumla ya shule za Sekondari 17 kati ya hizo za Serikali ni 14, shule 3 zisizo za Serikali. Tuna shule 3 za kidato cha 5 na cha 6 ambazo ni Urambo day na Uyumbu zenye michepuo ya Sanaa na Sayansi.Pia tuna shule ya Saint Vicent yenye michepuo ya Sanaa na Sayansi, ambayo siyo ya Serikalini.

2. IDARA  INA WATUMISHI WATANO.

  • Sara M. Nalogwa-Afisa ElimuSekondari.
  • Rudia E. Masatu-Afisa Elimu Taaluma Sekondari.
  • Phillipo D.Barugahale-Afisa Elimu Taaluma Sekondari.
  • Simon P.Makaranga-Afisa Elimu Vifaa na Takwimu.
  • Aneth I.Mgalula-Katibu Muhtasi

Jedwali Na. 1. Mawasiliano.

N/S
JINA
CHEO
SIMU
1
Sara M. Nalogwa
Afisa Elimu Sekondari
0752-792838
2
Rudia E.Masatu
Afisa Elimu Taaluma
0784-292100
3
Philiip D. Barugahala
Afisa Elimu Taaluma
0789059595/0679481842
4
Simon P. Makaranga
Afisa Elimu Vifaa na Takwimu
0784212664
5
Anneth I. Mgalula
Katibu Muhtasi
0622-499637

 

 VIONGOZI WALIOONGOZA IDARA YA ELIMU SEKONDARI KUANZIA 2005 HAD SASA

Jedwali Na. 2. Idadi ya Viongozi

S/N
JINA
MWAKA
1
Cleophase Mzungu
2005-2009
2
Nicholous Andrea Basisela
2009-2017
3
Sara M. Nalogwa
2018-


3. IDADI YA WANAFUNZI.

Halmashauri ya Wilaya y a Urambo ina jumla ya wanafunzi 7067 wa shule za serikali na zisizo za serikali kwa kidato cha kwanza hadi cha sita kwa mwaka wa masomo wa 2018.(wanafunzi 6208 shule za serikali na 859 shule zisizo za serikali).

Jedwali Na. 3. Idadi ya Wanafunzi.

S/N
KIDATO

WAV

WAS

JUMLA

1.
I

1223

1066

2289

2.
II

934

892

1826

3.
III

704

606

1310

4.
IV

608

512

1120

5.
V

44

249

293

6.
VI

69

160

229


JUMLA KUU

7067 

 

4. IDADI YA WALIMU.

Halmashauri ya Wilaya ya Urambo inahitaji jumla ya Walimu wa Sekondari 261. Waliopo 231 kati yao wanaume 160 na wanawake 71. (Jedwali Na. 3)

Jedwali Na. 4. Idadi ya Walimu

SOMO
MAHITAJI
WALIOPO
PUNGUFU/ZIDIO


Me

Ke

Jml

Me

Ke

Jumla

Sayansi
123

48

12

60

41

22

63

Sayansi Jamii
138

112

59

171

23

10

33






5. MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2018

Jedwali na. 5. linaonesha matokeo ya kidato cha sita 2018

Shule
WALIOFANYA
Daraja
 
%
NAFASI KIWILAYA
NAFASI KIMKOA
 
 
I
II
III
IV
O
I-III
%
IV-O
St. Vicent
25
04
07
14
0
0
25
100
00
00
01
3/5
Urambo
122
05
83
33
01
0
121
99.2
01
0.8
02
7/21
Uyumbu
73
04
12
41
10
06
57
78.0
16
21.9
03
16/16
Jumla
220
13
102
88
12
06
203
92.2
17
7.8
 
 


Hali ya ufaulu wa mtihani wa kidato cha sita 2018 ni sawa na asilimia 92.2 Ukilinganisha na ufaulu wa mwaka 2017 ambao ulikuwa 88.4 hivyo kuna ongezeko la asilimia  3.8.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ASHIRIKIANA NA MAAFISA KUCHANGIA VIFAA VYA WANAFUNZI WA UMITASHUMTA NA UMISSETA

    May 13, 2025
  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.