• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

DED URAMBO APONGEZWA NA WANANCHI BAADA YA KUSIMAMIA MGAO WAO TOKA KWA MKANDARASI MRADI WA SGR.

Siku iliyowekwa: June 11th, 2025

Urambo - Tabora.


Wananchi wa Kijiji cha Muungano kilichopo katika Kata ya Muungano Wilayani Urambo, wameridhishwa na ufafanuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Bi. Grace Quintine, juu ya mchanganuo wa fedha zilizotoka kwa Mkandarasi wa ujenzi wa Reli ya kisasa (SGR).


Bi. Grace Quintine ambaye kwa mujibu wa sheria ndiye msimamizi wa mapato katika Halmashauri ya Wilaya, ametoa ufafanuzi huo katika kikao kilichofanyika terehe 10.06.2025 zilipo ofisi ya kijiji hicho, baada ya wananchi hao kuhitaji ufafanuzi wa manufaa ya kijiji juu ya fedha zinazopatikana kutokana na shughuli za mkandarasi katika kijiji hicho.


Aidha, baada ya kutoa ufafanuzi juu ya mchanganuo wa fedha zitakazopatikana kutoka kwa mkandarasi na kuwaeleza kuwa kijiji kina wajibu wa kueleza Halmashauri ya Wilaya kipaumbele chao ili fedha zitakazopatikana ziweze kutumika, aidha Bi. Grace Quintine alieleza pia kuhusu wajibu wa mkandarasi kwa jamii anapofanyia kazi. 


Hata hivyo Bi. Quintine amewapongeza viongozi wa kata hiyo akiwemo Diwani wa Kata hiyo kwa Ushirikiano wake wakati wa ufuatiliaji wa fedha hizo ili ziwe zinaingia kwenye kijiji na hatimaye sasa kijiji hicho kunufaika na mradi huo.


Ikumbukwe kuwa, kijiji cha Muungano ni moja kati ya vijiji vinavyotoa madini ya ujenzi kupitia mlima, kwa ajili ya ujenzi wa Reli ya kisasa kutoka Tabora - Kigoma, kipande cha Urambo.


Aidha, kwa upande wa wananchi wa Kijiji hicho, wameridhishwa na ufafanuzi uliotolewa na Mkurugenzi Mtendaji na kushukuru kwa Miradi inayoendelea kutekelezwa katika kata hiyo, ambapo kwa mwaka huu wa fedha wamepata shule mpya ya sekondari na wanatarajia Kituo cha Afya siku za usoni.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ONE STOP CENTER KUWA MWAROBAINI WA MATUKIO YA UKATILI WA KIJINSIA URAMBO.

    June 25, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI H/W URAMBO

    June 23, 2025
  • MADIWANI URAMBO WAAGWA

    June 20, 2025
  • WANANCHI WA KATA YA UGALA WAUPOKEA KWA MIKONO MIWILI MRADI WA KITUO CHA AFYA

    June 18, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.