• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

H/W URAMBO YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KATIKA TAARIFA YA CAG

Siku iliyowekwa: June 13th, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Urambo imepokea pongezi kwa kupata hati safi, usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo pamoja na kukusanya vyema mapato ya Halmashauri kutoka katika vyanzo mbalimbali.


Pongezi hizo zimetolewa katika mkutano maalum wa Baraza la Halmashauri la kujadili taarifa ya Mkaguzi wa Hesabu za Serikali ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Urambo imepata hati safi.


Akizungumza katika mkutano huo, Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora Dkt. John Mboya amesema kuwa, pamoja na kupata hati safi, Tukumbuke kuwa Serikali katika miaka minne ya Uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan imeleta fedha nyingi zaidi ya Bilioni 40 kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali katika ngazi ya Halmashauri kwa ajili ya kuwanufaisha wananchi wa Urambo.


Aidha ameendelea kwa kusema kuwa Halmashauri imefanya vizuri utekelezaji wa miradi hiyo na katika kukusanya mapato kwani hadi kufikia Tarehe 31.05.2025 Halmashauri iliweza kufikisha makusanyo ya asilimia 97 (97%) ambao ni wastani mzuri.


Akizungumzia makusanyo ya mapato, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Mhe. Adam Malunkwi ameongeza kwa kusema kuwa, asilimia zilizobaki kwa ajili ya kufikia lengo ni chache na zinaweza kufikika. Hivyo amempongeza Mkurugenzi Mtendaji na Wataalamu kwa jitihada zao za kukusanya mapato ya Halmashauri bila kuchoka, kwa manufaa ya wananchi wa Urambo.


Ikumbukwe kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo ilipanga kukusanya jumla ya Tsh. Bilioni 3.8 Na kufikia tarehe 31.05.2025 kilikusanywa jumla ya kiasi cha Tsh. Bilioni 3.6 Sawa na asilimia hizo 97.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ONE STOP CENTER KUWA MWAROBAINI WA MATUKIO YA UKATILI WA KIJINSIA URAMBO.

    June 25, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI H/W URAMBO

    June 23, 2025
  • MADIWANI URAMBO WAAGWA

    June 20, 2025
  • WANANCHI WA KATA YA UGALA WAUPOKEA KWA MIKONO MIWILI MRADI WA KITUO CHA AFYA

    June 18, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.