• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

MILIONI 686 KUBORESHA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA NSENDA

Siku iliyowekwa: June 4th, 2025

Urambo - Tabora


Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Bw. Masudi I. Masudi amewapongeza na kuwashukuru wananchi wa kata ya Nsenda kwa kutoa eneo lenye ukubwa wa ekari 15 kwa ajili ya kujenga Kituo cha Afya.


Bw. Masudi ametoa pongezi hizo tarehe 02.06.2025 katika kikao cha kutoa elimu kwa kamati za mradi pamoja kutambulisha mradi huo kwa wananchi, ambapo aliambatana na Wataalamu kutoka Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji pamoja na wawakilishi kutoka Taasisi nyingine za Umma na kusititiza ushirikiano kutoka kwa Wananchi wakati wa Utekelezaji wa mradi huo.


Aidha wakati wa Utambulisho wa Mradi huo Kaimu Afisa Mipango Bw. Baraka Elisha amesema kuwa, Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imetoa kiasi cha Fedha Milioni 686,135,134 kwa ajili ya ujenzi wa Kituo hicho cha Afya kinachojengwa katika Kijiji cha Itebulanda zaidi ya kilomita 17 kutoka hospitali ya Wilaya.


Sambamba na hilo, Wananchi wameombwa kushiriki kikamilifu katika kuchangia nguvu kazi, kila watakapohitajika kufanya hivyo wakati wowote mpaka pale mradi utakapokamilika.


Hata hivyo, Wajumbe wa Kamati  wamepewa elimu juu ya utekelezaji wa Mradi na Afisa Manunuzi wa Bw. Michael Mapela ili wautekeleze kwa kufuata sheria na miongozo ya manunuzi ili mradi utekelezeke kama ambavyo Serikali imekusudia.


Aidha Ndg. Kassumpa Machati kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) amewaasa wajumbe wa kamati kuzingatia maadili pamoja na kuepuka mianya ya Rushwa na ubadhirifu ili mradi utekelezwe kwa ubora bila kupungua kitu chochote.


Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Nsenda Mhe. Mahona ametoa pongezi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na Mbunge Mhe. Margaret Sitta kwa kufanikisha kupatikana kwa fedha ili kujenga Kituo cha Afya katika kata ya Nsenda.


Aidha Wananchi wa Kata hiyo wamepongeza Juhudi za Diwani na Halmashauri ya Wilaya ya Urambo kwa utekelezaji wa Miradi mikubwa wanayoipata katika kata yao ya Nsenda kwani miradi hiyo italeta Manufaa ya kiuchumi na kijamii kwa wakazi wa kata hiyo.

Kazi iendelee

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ONE STOP CENTER KUWA MWAROBAINI WA MATUKIO YA UKATILI WA KIJINSIA URAMBO.

    June 25, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI H/W URAMBO

    June 23, 2025
  • MADIWANI URAMBO WAAGWA

    June 20, 2025
  • WANANCHI WA KATA YA UGALA WAUPOKEA KWA MIKONO MIWILI MRADI WA KITUO CHA AFYA

    June 18, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.