• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Mkuu wa Mkoa Aleta Matumaini ya Zao la Pamba

Siku iliyowekwa: December 19th, 2017


 Pamba ya Mkulima Haitochukuliwa kwa Mkopo- Mkuu wa Mkoa wa Tabora

Serikali ya Mkoa wa Tabora imesema kuwa malipo kwa ajili zao la pamba yatatolewa papo kwa hapo mkulima anapouza mazao yake katika Kampuni zilizopangiwa kununua zao hilo mkoani Tabora.
Kauli hiyo ilitolewa hivi karibuni na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri wakati wa kuhamasisha mbinu bora za ulimaji wa zao la pamba katika Halmashauri ya wilaya ya Urambo.
Alisema kuwa utaratibu utakaotumika katika uuzaji na ununuzi wa pamba mkoani Tabora ni wa nipe nikupe na kusisitiza hakutakuwa na utaratibu wa  njoo wiki ijayo au kesho.
Mwanri alizitaka Kampuni zote zilizopangiwa kununua pamba zikafanya maandilizi ya kutosha ili kuepusha usumbufu kwa wakulima kwa kukopa mazao yao.

Alisema kuwa utaratibu wa kukopa mazao ya wakulima ndio umekuwa ukisababisha wakate tamaa na kusababisha uzalishaji wa zao hilo kudhofika, lakini wakilipwa palepale wakulima watapata hamasa na kulima kwa wingi zaidi katika msimu unaofuata.
Aidha Mkuu huyo wa Mkoa alitoa wito kwa wakulima waliojitokeza kulima zao hilo kuzingatia kanuni na sheria zakilimo cha zaoa la pamab kwa kuepuka kuweka uchafu na kumwagia maji pamba yao iliwaweze kupata bei nzuri.
Alisema kuwa mtu atakayebainika kuchafua pamba kwa lengo la kufanya udanganyifu atachukuliwa hatua kalikulingana na sheria inayoongoza zao hilo.
Katika hatua nyingine Mkuu wa Mkoa huyo amesisitiza Kampuni zote zinazosambaza pembejeo kwa wakulima wa pamba kuhakikisha pembejeo hizo zinawafikisha wakulima kabla ya mwisho wa wiki ijayo ili waweze kwenda sanjari na msimu wa kilimo.
Alisema kuwa zaidi ya hapo watasababisha wakulima washindwe kuzalisha kwa wingi na kupata mafanikio kidogo.
Naye Mweneyekiti wa Halamshauri ambae pia ni diwani wa  Kata ya Uyumbu Mhe Adam H. Malunkwi alisema kuwa kuliibua tena zao la pamba kutawasaidia wakazi wa Halamashauri ya wilaya ya Urambo kwani ununuzi wa zao la Tumbaku limekuwa likisuasua kwa misimu iliyopita.
Aidha, Mhe. Adam aliomba mbegu ziwahi kufikakatika maeneo yote ambayo wakulima wamejiandikisha kwa ajili ya kulima zao hilo na kuongeza kuwa watazingatia elimu iliyotolewa na Mkuu wa Mkoa ili waweze kuzalisha kilo 1000 hadi 1200 katika ekari moja.
MWISHO

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ASHIRIKIANA NA MAAFISA KUCHANGIA VIFAA VYA WANAFUNZI WA UMITASHUMTA NA UMISSETA

    May 13, 2025
  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.