• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Mkuu wa wilaya Urambo Afanya Ziara Kasisi, Atembelea Zahanati ya Kijiji

Siku iliyowekwa: November 7th, 2023

Kamishina Mhe. Elibariki Bajuta Mkuu wa wilaya Urambo akiambatana na baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya, Mkurugenzi Mtendaji(W) Urambo  na baadhi ya Wataalamu leo Jumanne ya Novemba 7, 2023 amefanya ziara kata ya Kasisi kijiji cha Wema na kukagua ujenzi wa Zahani ya Wema na kulizishwa na hatua ya ujenzi huo.

Wakati akiwasalimia wanachi wa kijiji cha Wema, Mhe. Macho S. Ntayega Diwani Kata ya Kasisi amesema fedha zilizotumika ni  Tsh milioni 68,520,000 ikiwemo Tsh milioni 7,800,000 michango ya wananchi, Tsh 720,000 mchango wa Halmashauri na Tsh milioni  60,000,000 ni fedha kutoka Serikali Kuu na wamekamilisha ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD), vyoo vya wanawake na wanaume, kichomea taka pamoja na kujenga shimo la kuhifadhi kondo la nyuma.

Mhe. Bajuta amewapongeza wananchi wa kijiji cha Wema, Serikali ya kijiji na Mhe. Diwani wa kata ya hiyo kwa uaminifu, uadilifu na kuwa mfano kwa kukamilisha ujenzi uliozingatia ramani  ya wizara, majengo yenye ubora na viwango vinavyotakiwa hivyo kuakisi thamani ya fedha iliyotolewa na Serikali.

Mhe. Bajuta amesema " mimi binafsi hapa nimelizika na hatua ya ujenzi na wananchi hawa wanahitaji huduma siyo kuangalia haya majengo, wiki ijayo nilikuwa na safari lakini nimewiwa kuunga mkono juhudi zenu nimehairisha safari nitarudi hapa kufungua hii zahanati ili wananchi hawa wapate huduma kwanza"

Pamoja na pongezi hizo, Mhe. Bajuta ameitaka jamii ya kijiji cha Wema kutambua ya kuwa zahanati hiyo ni mali yao hivyo hawana budi kuilinda miundombinu  iliyopo, majengo pamoja na vifaa tiba vilivyopo kwa maslahi yao na Taifa.

Pia mhe. Bajuta amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji(W) kuhakikisha mipaka ya zahani hiyo inatambuliwa na kuwekewa alama ili pasiwepo na migogoro ya uvamizi wa eneo la zahanati.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • URAMBO YAFANIKISHA KIKAO CHAKE CHA KWANZA KUPITIA E-BOARD

    April 17, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.