• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Pongezi kwa Viongozi Urambo

Siku iliyowekwa: June 24th, 2022

Na Edward C. Rumanyika

Akionekana mwenye bashasha na uso wa furaha, Balozi Dk. Batrida Buliani Mkuu wa Mkoa wa Tabora amewapongeza  viongzi wa Wilaya ya Urambo akiwemo Mhe. Magret Simwanza Sitta(MB), Mkuu wa wilaya, Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, Mhe. Adam Malunkwi (Mwenyekiti wa Baraza la Madiwani), Baraka Zikatimu (Mkurugenzi Mtendaji), wahe. Madiwani na watendji waandamizi wa Halmashuri  kwa ushirikiano mkubwa unaonekana katika swala zima la kuwahudumia wananchi, kusimamia  ujenzi , ukamishilishaji wa miradi ya maendeleo na ukusunyaji wa mapato ambapo hadi kufikia Juni 23, 2022 makusanyo yalifikia  94%.

Balozi Dk. Buliani akiwa anahutubia Baraza Maalum  la wahe. Madiwani la hoja za Mthibiti na Mkaguzi  Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Juni 24, 2022 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Urambo kwa mwaka unaoishia Juni 30, 2021 imepata Hati Safi yaani Unqualified Opinion amesema hana wasiwasi na Urambo ya sasa maana  kuna mabadiliko makubwa sana ya utendaji kazi hasa kwenu viongozi mliochaguliwa, na wateule wa  Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuwaomba waendelee  kutekeleza ilani ya CCM kwa mshikamano wa pamoja  walionao, kuwasimamia Timu ya Watalaam wa Halmashauri (CMT) ili kuhakikisha kero za wananchi zinatatuliwa kwa wakati.

"Urambo mna ubunifu, na niwaombe mtoke mjifunze zaidi ikibidi mwende hata Mkoa wa jirani wa Katavi kuna kitu kitawaongezea tija zaidi, Mkurugenzi ni mbunifu amefika hapa ndani ya muda mfupi amebuni vyanzo vipya vya mapato na kwenye mkoa yeye anaongoza kwenye usimikaji na  utumiaji wa mifumo ya kielektroniki ya ukusanyaji wa mapato maana katika vituo vya afya 27 vya kutolea huduma yeye kafunga mfumo wa GoT-HoMIS vituo 23 na hivyo vituo 4 amesema vifaa vipo ila kuna changamoto ya umeme hongereni sana Mkurugenzi", alisema Balozi  Dk. Buliani.

Awali Balozi Dk. Buliani aligusia ajari ya Treni ya abilia iliyotokea mkoani Tabora Juni 22, 2022 na kusema abilia wote wamesafirishwa na majeruhi wanaendelea na matibabu katika hospitali mbalimbali hapa nchini, ingawa taarifa ya awali iyotolewa kwenye vyombo vya habari ilisema kulikuwa na vifo 4 ukweli ni kwamba baada ya kunyanyua mabehewa yote idadi ya vifo ni 3 maana kuna sehemu ya kichwa ilikatika na kuhesabiwa kama mwili na wakahisi mwili upo chini ya mabehewa kumbe ilikuwa ni sehemu ya mwili mmoja uliokuwa umesagika kwa kukanyagwa na Treni, lakini kwa yote tuzidi kuwaombea majeruhi wapone haraka na kuendelea kulitumikia taifa.

Katika kuhitimisha hotuba yake Balozi Dk. Buliani ameitaka Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango kuhakikisha inasimamia  Kamati ya Wataalam ya Halmashauri (CMT) inaleta utekelezaji wa hoja zote zilizoibuliwa na Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2020-2021 na miaka ya nyuma (previous)  kwenye vikao vya Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango vya kila robo mwaka. Pia  hoja  zinazo stahili kuombewa kibali cha  kufutwa kwa mujibu wa Waraka namba 1 wa Ofisi ya Waziri Mkuu wa Mwaka 2015 utaratibu ufuatwe ili ziweze kufutwa.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • URAMBO YAFANIKISHA KIKAO CHAKE CHA KWANZA KUPITIA E-BOARD

    April 17, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.