• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Tulinde Talanta za Kizazi Hiki ni Viongozi wa Kesho: Mkuu wa wilaya ya Urambo

Siku iliyowekwa: June 16th, 2023

Siku ya Mtoto Afrika 16.06 2023 Songambele Urambo kauli mbiu ni Zingatia Usalama wa Mtoto katika Ulimwengu wa Kidigitali

Mhe. Kenani Kihongosi Mkuu wa wilaya ya Urambo ameiomba Jamii ya Wana Urambo kushirikiana kuhakikisha Maadili na Malezi ya mtoto inakuwa Kipaumbele chetu kwa ajili ya kuandaa Kizazi chenye Maadili kama Taifa la Kesho.

Mhe. Kihongosi ameyasema hayo hii leo wakati akihutubia sherehe za mtoto wa Afrika leo 16 Juni, 2023 katani Songambele sherehe zilizoambatana na jumbe mbalimbali zilizoelezea wajibu wa mzazi, mlezi anatakiwa kufanya nini katika malezi ya mtoto, pia ujumbe kwa watoto wenyewe  wazingatie vitu gani katika makuzi yao.

 Mhe. Kihongosi amewapongeza akina mama wa wilaya ya Urambo wakiongozwa na Mhe. Margaret Sitta Mbunge wa Jimbo la Urambo kwa malezi mazuri na ya Kimaadili na kufanya hivyo wanaliadaa Taifa imara na lenye Maadili, aidha amewapongeza akina baba wote kwa kujitoa kwa dhati kuhakikisha familia zao zinapata mahitati yote ya msingi ya kila siku.

 Mhe. Kihongosi amesisitiza wazazi wa Urambo kuachana na malezi ya kisasa  na kushindwa kusimamia wajibu wao kama wazazi hasa tabia za kuwapatia simu janja watoto na watoto kuona vitu visivyofaa kuonwa na  watoto na kusema "simu tunawapa sisi, na wanayoyaona wanaiga mwisho wake wataishia kulelewa na polisi na magereza zetu".

Akihitimisha hotuba yake, Mhe. Kihongosi amewaomba viongozi wa Vyama, Serikali, Dini na Jamii kukemea kwa nguvu tabia ya Ushoga na Usagaji na kuwataka maneno hayo yatajwe kama yalivyo ili yaeleweke kwa watoto na siyo kutafuta maneno mengine yanayojaribu kuficha ubaya wa uovu huo.

Matangazo

  • Ajira August 21, 2023
  • Tangazo la Ajira ya Mkataba June 06, 2023
  • Kuitwa Kazini Kada ya Afya July 09, 2018
  • Matokea Kidato cha Sita na Uwalimu July 13, 2018
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Watendaji Natarajia Mageuzi, Mabadiliko Katika Lishe: DC Urambo

    July 27, 2023
  • Wananchi wa Igunguli Wafurahia Mradi, Watoa Eneo Bure

    July 22, 2023
  • Hongereni Divisheni ya Afya kwa Kusimamia Lishe ya Wajawazito

    July 21, 2023
  • Tusaidiane Kazi Viongozi Wenzagu Ngazi ya Kata: Mkuu wa Wilaya ya Urambo

    July 21, 2023
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Urambo . All rights reserved.