• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Urambo Yaamua Utoro Shuleni 'Bai Bai'

Siku iliyowekwa: July 2nd, 2018

Maandamano ya wanafunzi shule za msing 77 na sekondari 17 Wilyani Urambo yamefanyika leo tarehe 02.07.2018 ikiwa ni siku ya kufungua shule Muhula wa Pili Kitaifa kuanzia saa 1:30 Asubuhi hadi saa 5:00 Asubuhi na kupokelewa na Mhe.  Mkuu wa Wilaya ya Urambo Bi Angelina John Kwingwa katika viwanja vya Mwananchi Square lengo ikiwa ni  kupinga utoro shuleni, Ndoa na  Mimba za Utotoni, utumikishwaji katika mashamba ya Tumbaku, Migodini, Kazi za Ndani na Biashara Ndogondogo.

Wanafunzi wapatao 9358 wa shule za msingi  Azimio, Mabatini, Mwenge, Urambo,Ukombozi, Imalamakoye, Umoja na Tulieni  na wanafunzi   2150  wa shule za  sekondari  Urambom day, Chetu na Ukombozi zote za Umma zilizopo katika tarafa ya Urambo wameandamana wakiwa na mabango yenye jumbe mbalimbali za kuonyesha kudai haki yao ya msing ya elimu, huku wakisindikizwa na walimu wao wapatao 276, (Msingi 206 na Sekondari 70). Maandamano haya pia yamefanyika kila kata na kupokelewa na wahe. Madiwani na viongozi mbambali wa serikali za Kata na Vijiji.

Akihutubia waandamanaji, wazazi wa wanafunzi, watumishi wa Tarafa ya Urambo na wananchi wengine waliohudhulia katika viwanja vya Mwananchi Square, Bi Angelina Kwinga ameeleza fedhea iliyoukumba Mkoa wa Tabora Aprili 2, 2018 Mkoani Geita  siku ya ufunguzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru ambapo Mkoa wa Tabora ulitwaja kuwa  miongoni mwa mikoa inayoongoza kwa Utoro shuleni.

Bi Kwinga amewataka wazazi, walezi kujenga utamaduni wa kutembelea shule na kuwa  wepesi wa kufatilia mahudhulio ya darasani na tabia za watoto wao, ikiwa ni  pamoja na maendeleo ya kitaaluma kupitia walimu wao. Ameiomba jamii inayomzunguka mwanafunzi, Viongozi wa Serikali ngazi zote ikiwemo viongozi wa madhehebu ya dini kukemea kwa pamoja vitendo vinavyochangia utoro kwa wanafunzi wa shule.

"Mkuu wa Polisi -OCD,  nakuagiza watakao husika na mimba za wanafunzi, ndoa za utotoni au ndoa chini ya umri husiokubalika kisheria weka ndani muoaji, muolewaji, wazazi wa pande zote mbili na aliyefungisha ndoa hiyo" amesema Bi Kwinga.

Aidha amewapongeza walimu kwa kazi nzuri wanayoifanya na kuwaomba wawe  wavumilivu wakati Serikali inafanyia kazi changamoto za kielelimu ikiwemo  miundombinu, vifaa vya kujifunza na kujifunzia na stahiki zao lakini akawasihi changamoto hizo zisiwafanye wakawa watoro kazini.

Awali akitoa takwimu za utoro shuleni kwa mgeni rasmi, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji (W) Ndg Osear Mwambusira  amewaagiza walimu wakuu na wakuu wa shule kuwapokea watoto wote watoro watakaoonekana kuitikia agizo la serikali la kurudi shuleni ili  waendelelee na masomo na taarifa ya watakao kaidi ipatikane mapema haraka iwezekanavyo ili wasakwe popote walipo na  sheria ichukue mkondo wake.

Akizungumza kwa niaba ya wazazi, walezi na jamii Bi Agness Ndinya Kulwa ambae pia ni Mwalimu mzoefu katika shule ya msingi Mwenge amekili kuwepo kwa tatizo la utoro shuleni na akaeleza sababu  ni kutokana na mwamko mdogo wa wazazi kuhusu Elimu, na akasema wengi wa wazazi wanatumia watoto wao kuwa kama sehemu ya walezi wa familia hizo kuwa kuwatuma na kuwaagiza kuuza bidhaa hasa siku za Minada na Gulio.

 

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ASHIRIKIANA NA MAAFISA KUCHANGIA VIFAA VYA WANAFUNZI WA UMITASHUMTA NA UMISSETA

    May 13, 2025
  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.