• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

UZINDUZI WA ZAHANATI KUONDOA ADHA YA UPATIKANAJI WA HUDUMA ZA AFYA KIJIJI CHA MLANGALE

Siku iliyowekwa: June 29th, 2025

Urambo - Tabora


Mkuu wa Wilaya ya Urambo Mhe. Dkt. Khamis Mkanachi amezindua zahanati ya kijiji cha Mlangale Kata ya Songambele tarehw 26.06.2025 ikiwa ni muendelezo wa utekelezaji wa maelekezo ya Serikali ya kuhakikisha kila kijiji kinapata Zahanati.


Mhe. Dkt. Mkanachi katika Sherehe za Uzinduzi huo aliambatana na Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya, Mkurugenzi mtendaji akiwa na Wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo.


Aidha Mhe. Dkt. Mkanachi amemshukuru Mhe.Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuweka kipaumbele katika kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora katika Sekta mbalimbali kama vile Afya, Elimu, Kilimo n.k. aliendelea kwa kusema kuwa Mpango wa Serikali inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha kuwa huduma za afya zinasogezwa karibu na wananchi. Hivyo ameeleza kuwa Zahanati ya Mlangale haitokuwa ya mwisho kuzinduliwa.


kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Wilaya ya Urambo Bi. Grace Quntine amemshukuru Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutoa Fedha kutoka Serikali kuu kwa ahili ya ukamilishwaji wa Zahanati hiyo pamoja na miradi mingine ya Maendeleo. Aidha amempongeza na kumshukuru Mbunge wa Jimbo la Urambo Mhe. Margaret Sitta kwa kuendelea kuwa karibu na Halmashauri ambapo kwa zahanati ya Mlangale alitoa Mifuko 100 ya Saruji, hali iliyochangia wananchi wa kijiji cha Mlangale kufanikisha ujenzi wa Zahanati yao.


Aidha amemshukuru Mkuu wa Wilaya Mhe. Dkt. Khamis Mkanachi kwa kuwa karibu na Halmashauri katika kuongeza Nguvu kwenye Usimamizi wa Miradi ya maendeleo katika Wilaya ya Urambo.


Kwa upande wake aliyekuwa Diwani wa Kata hiyo Ndg. Elias Kafwenda ametoa shukrani zake za Dhati kwa Serikali kutokana na kupokea fedha kutoka Serikali kuu na Halmashauri, hali iliyopelekea maendeleo hayo kufikiwa.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA ZAHANATI KUONDOA ADHA YA UPATIKANAJI WA HUDUMA ZA AFYA KIJIJI CHA MLANGALE

    June 29, 2025
  • MAFUNZO YA UTAWALA BORA KUWAJENGEA UWEZO WENYEVITI WA VIJIJI WILAYANI URAMBO

    June 29, 2025
  • MFUMO WA KIELEKTRONIKI (PEPMS) KUBORESHA UTENDAJI KAZI H/W URAMBO.

    June 28, 2025
  • ONE STOP CENTER KUWA MWAROBAINI WA MATUKIO YA UKATILI WA KIJINSIA URAMBO.

    June 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.