• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Wananchi wa Igunguli Wafurahia Mradi, Watoa Eneo Bure

Siku iliyowekwa: July 22nd, 2023

Umati wa mamia kwa maelefu ya wananchi wa kijiji cha Igunguli kata ya Uyogo wilayani Urambo leo Julai 22, 2023 wamejitokeza kwa wingi kumlaki na kumsikiliza mhe. Kenani Kihongosi Mkuu wa Wilaya ya Urambo kwa ajili ya utambulisho na uzinduzi wa  ujenzi wa shule mpya ya Sekondari kijijini hapo, yenye jumla ya majengo 8 ya kisasa kupitia mradi wa kuboresha Elimu ya Sekondari (SEQUIP).

Wakiwa na nyuso za furaha na bashasha, Wananchi wa Igunguli wametoa ahadi ya kuonesha ushirikiano wakati wote wa ujenzi wa shule hiyo mpya ya Sekondari kwa kuhakikisha wanajitoa kupitia mtaji walionao wa nguvukazi kwa  kusaidia kusafisha eneo la ujenzi wa shule, kutoa ushirkiano wa kutosha kwa watalamu wasimamizi pamoja na mafundi wa mradi huo.

Akitoa shukrani  kwa niaba ya wananchi wa Igunguli Ndg. Peter W. Lukinda Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Igunguli amesema, shukrani za pekee ziende kwa Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutoa kiasi cha Tsh 603,890,563 kwa ajili mradi huo mkubwa katika kijiji chao.

Mwenyewekiti huyo alisisitiza kwa kusema,  "Wahe. Vingozi mlioko hapa, wananchi hawa baada ya kusikia tumeletewa mradi mkubwa walifurahi sana na katika hili wametoa eneo lote hili bure lenye takribani hekari 28 kwa ajili ya ujenzi wa mradi huu maana hatukuwa na Sekondari karibu. Sekondari ya kata iliyopo  ipo zaidi ya kilometa 12 kutoka hapa kijiji cha Igunguli na viunga vyake."

Aidha, Mhe. Kenani Kihongozi Mkuu wa wilaya ya Urambo amewapongeza wananchi wazalendo wa Igunguli  kwa upokeaji chanya wa mradi na kuwaomba waendeleze hali hiyo ya kizalendo kwa kuhakikisha mradi huo unakamilika kabla ya tarehe 30 Septemba, 2023 ili wanafunzi watakaofaulu mtihani wa Taifa wa darasa la saba, 2023 waweze kuchaguliwa  na kujiunga na masomo Januari, 2024  katika shule hiyo.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • URAMBO YAFANIKISHA KIKAO CHAKE CHA KWANZA KUPITIA E-BOARD

    April 17, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.