• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

WANAWAKE URAMBO WATEMBEA NA KUFANYA USAFI KUELEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Siku iliyowekwa: March 4th, 2025

Kuelekea katika Kilele cha Wiki na Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake, Mbunge wa Jimbo la Urambo Mhe. Margareth Sitta kwa Kushirikiana na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora Mhe. Jaqueline Kainja Andrew wameongoza umati wa Wanawake wa Wilaya ya Urambo kufanya matembezi na kufanya usafi katika Hospitali ya Wilaya ya Urambo.

Matembezi hayo yaliyofanyika Leo tarehe 03.03.2025 yalianzia ilipo ofisi ya Mbunge wa Jimbo la Urambo na Kuelekea katika Hospitali ya Wilaya ya Urambo ambapo walipokelewa na baadhi ya wataalamu wakiongozwa na Mganga Mkuu wa Wilaya ya Urambo Dkt. David Manyama.


Aidha katika tukio hilo, Mbunge  wa Jimbo la Urambo alieleza kuwa ni mwanzo tu, na Siku ya kesho yaani tarehe 04.03.2025 litafanyka kongamano kubwa la Wanawake kwa ajili ya kujifunza mambo mbalimbali.

Akizungumza na Kundi la wanawake katika hospitali ya Wilaya ya Urambo, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora Mhe. Jaqueline Andrew ameeleza kuwa, amekuwa akishirikiana na Hospitali ya Wilaya ya Urambo, na leo amekuja kwa ajili ya kuzifikisha Salamu za Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ya kuhakikisha siku ya Kimataifa ya Wanawake inaadhimishwa kikamilifu.


Kwa niaba ya uongozi wa Divisheni ya Afya pamoja na Hospitali ya Wilaya ya Urambo, Mganga Mkuu Dkt. David Manyama ametoa shukrani za dhati kwa Wanawake waliojitokeza kufanya Usafi pamoja na Kuchangia damu. Ameeleza kuwa jambo hilo siyo dogo, ni jambo kubwa lenye kuleta muamko kwa jamii  juu ya Mtazamo wa Mwanamke katika nyanja mbalimbali.

"Wanawake na Wasichana 2025: Tuimarishe Haki, Usawa na Uwezeshaji"

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • URAMBO YAFANIKISHA KIKAO CHAKE CHA KWANZA KUPITIA E-BOARD

    April 17, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.