• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Watendaji Natarajia Mageuzi, Mabadiliko Katika Lishe: DC Urambo

Siku iliyowekwa: July 27th, 2023

Mhe. Kenani Kihongosi Mkuu wa Wilaya ya Urambo ameagiza Watendaji wa Kata 9 zilizoshindwa kufikia lengo la asilimia 100 katika afua ya kila mwanafunzi kupata anglau mlo mmoja wa chakula wakiwa shuleni kuendelea kuelimisha kuhamasisha wazazi na walezi kuchangia chakula ili watoto waweze kupata chakula wakati wa masomo na anatarajia kuona mabadiliko ya asilimia zikiongezeka wakati wa tathimini ya kikao cha robo ya kwanza kwa mwaka 2023/24.

Mhe. Kihongosi ametoa agizo hilo leo hii 27 Julai, 2023 kupitia kikao kazi cha Tathimini ya Mkataba wa Lishe robo ya nne kilichofanyika kwenye ukumbi mdogo wa mikutano wa Halmashauri na kuwasihi kila Mtendaji wa Kata kutimiza wajibu wake kwa kutumia ushawishi, maarifa na utashi  aliyojaliwa na Mwenyezi Mungu kuhakikisha anaeleweka kwenye jamii kwenye uchangiaji wa chakula cha wanafunzi na siyo kutumia mabavu na nguvu kama ilivyozoeleka.

Mhe. Kihongosi amewapongeza viongozi, na wananchi wa  kata 9 zinazofanya vizuri kwenye kutoa chakula kwa wanafunzi shuleni, ambazo ni  kata ya  Itundu, Kapilula, Kasisi, Nsenda, Ukondamoyo, Urambo, Uyogo, Uyumbu na Vumilia na kuhimiza uongozi na jamii nzima ya  kata 9 zilizoshindwa kufikia lengo kutambua faida na muhimu wa kufanya hivyo ikiwa ni pamoja na kupunguza utoro na  kuongeza ufaulu kwenye mitihani ya ndani na Taifa kwa ujumla. "Watendaji wetu wa Kata mliopo hapa, Wazazi/walezi waelezwe na wajue ni wajibu wao kumlea na kumdumia mtoto na kesho mtoto huyo akifanya vizuri masomoni na maisha yakaenda sawasawa  atakuwa na nafasi nzuri na kubwa zaidi  ya kuwahudumia wazazi/walezi wake" amesema Mhe. Kihongosi.

Awali akisoma taarifa ya Tathimini ya Mkataba wa Lishe Robo ya Nne kwa mwaka ulioishia 30 Juni, 2023, Bi Chonge Mazengo Afisa Lishe Wilaya amezitaja kata 9 zilizopata alama chini ya   asilimia 76 katika afua ya kila mwanafunzi kupata anglau mlo mmoja wa chakula wakiwa shuleni ni Imalamakoye, Kiloleni, Kiyungi, Mchikichini, Muungano, Songambele, Ugalla, Usisya na Ussoke.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ONE STOP CENTER KUWA MWAROBAINI WA MATUKIO YA UKATILI WA KIJINSIA URAMBO.

    June 25, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI H/W URAMBO

    June 23, 2025
  • MADIWANI URAMBO WAAGWA

    June 20, 2025
  • WANANCHI WA KATA YA UGALA WAUPOKEA KWA MIKONO MIWILI MRADI WA KITUO CHA AFYA

    June 18, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.