• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Wazazi wa Wanafunzi waliofaulu STD VII-2018 wilayani Urambo Waamua

Siku iliyowekwa: January 4th, 2019

Mkutano wa wazazi wa wanafunzi wa shule Msingi za Mabatini, Azimio, Ukombozi , Mwenge, Umoja, Urambo na Tulieni zilizopo katika kata za Urambo Mjini, Mchikichini na Kiyungi umefanyika Januari 3, 2019 katika shule ya Sekondari ya Ukombozi.Wazazi hao kwa pamoja wameridhia kuchangia ukarabati wa miundombinu ya madarasa ili kuwaruhusu wanafunzi 387 wenye alama za ufauru lakini hawakuchaguliwa kujiunga kidato cha kwanza Januari 2019.

Akihutubia katika kikao hicho Mkuu wa wilaya ya Urambo Mhe. Angelina Kwingwa  amewataka wazazi hao kila mmoja kwa nafasi yake kuguswa katika kuchangia maendele ya elimu hasa hili la kuchangia uboreshaji wa miundombinu ya madarasa ili kuhakikisha wanafunzi wote wenye alama za ufaulu wanajiunga kidato cha kwanza 2019.

Mhe. Kwingwa amewataka wazazi kuharakisha zoezi hili la uchangiaji liwe la  haraka kwa kujinyima na kujijitoa  ili kabla ya Mwezi Machi, 2019 wanafunzi  wote wenye alama za ufaulu wawe wameripoti shuleni na kuendelea na masomo ya sekondari ili waweze kutimiza ndoto zao. Aidha; amewataka wazazi kuwa karibu na watoto wao ili katika kipindi hiki cha ukarabati na uboreshaji wa miundombinu ya madarasa kisiwe uchochoro wa kuwatorosha na kuwatumikisha wanafunzi hao katika mashamba, kazi za  majumbani na kuwaozesha kwa kisingizio cha kutokuendelea na masomo.

Pia katika kuunga  nguvu na amasa ya wananchi Mhe. Kwingwa amechangia mifuko 10 ya saruji ili ikasaidie katika uboreshaji wa miundombinu ambapo kikao kimeridhia kila mzazi mwenye mwanafunzi aliyekosa nafasi kuchangia kiasi chaTsh 30,000 na wananchi wengine  watachangia Tsh 20,000 ili kutimiza lengo la mkutano. Mhe. Kwingwa ameitaka Kamati ya watu sita (6) iliyoundwa na wazazi kukusanya michango hiyo kwa ueledi na kusimamia zoezi zima la ukarabati kwa uadilifu wa hali ya juu ili kulinda heshima waliypewa na wananchi.

Akizumgumza kwa niaba ya wananchi Mhe. Amatusi Ilumba (Diwani Kata ya Urambo Mjini) amewapongeza wananchi wa kata zote tatu kwa kuwa na mtazamo chanya na mwamuko wa kuchangia maendeleo katika elimu. Mhe. Lihumba alisema shule ya  Ukombozi inatumia majengo yaliyokuwa ya chuo cha uwalimu na kuna mabweni ya zamani ambayo yamechakaa na hayatumiki hivyo yakikarabatiwa yanaweza kutoa vyumba 6 vya madarasa hivyo kuweza kutumika kwa watoto 387 ambao hawakuchaguliwa. Mhe. Ilumba alimuomba Mkuu wa wilaya ya Urambo Bi. Angelina Kwinga kutumia nafasi hii adimu aliyonayo kama mkuu wa wilaya ya Urambo kuzishawishi kata nyinginezo kufanya jitahada za kuchangia ujenzi wa miundombinu kwani bado watabaki zaidi ya watoto 1005 ambao wana alama za ufaulu lakini hawakuchaguliwa awamu ya kwanza.

Alkathalika Ndg  Nassibu Daudi Mkazi wa Urambo Kati katika kuunga mkono hoja ya uchangiaji ukarabati wa miundombinu ya madarasa alishukuru uongozi wa kata na mkuu wa wilaya ya Urambo kwa kuandaa mkutano huo kwani matokeo yatawanufaisha watoto wao hivyo akawaomba wazazi wenzake washikamane ili kuhakikisha wanatimiza lengo la kuwasaidaia watoto 387 wanapata elimu ya sekondari. Alimuomba mkuu wa wilaya ya kuwa jambo hili litengenezwe kama sheria kwa kusema " mimi nitegemee mkuu wa wilaya aseme  kama rais wa wilaya,  alafu lile agizo lako atakayelikiuka aone uo moto wa mkuu wa wilaya" alisitiza Ndg Daudi.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ASHIRIKIANA NA MAAFISA KUCHANGIA VIFAA VYA WANAFUNZI WA UMITASHUMTA NA UMISSETA

    May 13, 2025
  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.