• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Bodaboda Mtii sheria za Barabarani

Siku iliyowekwa: May 27th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Urambo Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Uhifadhi (SACC)Elibariki Bajuta amewataka waendesha Pikiki maarufu Bodaboda Wilayani Urambo kuheshimu vyombo vya Ulinzi na Usalama na kushirikiana navyo ili kutokomeza Ajali za barabarani. SACC Elibariki Bajuta amesema hayo wakati alipokutana amekutana na waendesha pikipiki za abiria maarufu kama Bodaboda tarehe 27.05.2024 katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo. SACC. Bajuta amekutana na waendesha pikipiki hao ili kujadili masuala mbalimbali yanayowagusa madereva hao na vijana wa Urambo kwa ujumla. Aidha Mkuu wa Wilaya alifanya mkutano huo akishirikiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Bi. Grace Quintine pamoja na baadhi ya wakuu wa idara za Ulinzi na Usalama Wilayani Urambo. Hata hivyo SACC Bajuta alisisitiza Bodaboda kuwa na Uongozi halali unaotambulika na kusajiliwa ili kusaidia Bodaboda kuweza kupata fursa mbali mbali kama Mikopo.

 

Aidha katika kuhakikisha Hilo linatimia, SACC. Bajuta alihakikisha uchaguzi unafanyika na kupatikana kwa Viongozi wa Umoja wa Bodaboda Wilaya ya Urambo.

Viongozi waliochaguliwa ni:

  1. Ricardo Siliye - Mwenyekiti
  2. Sibuga Petro - Makamu Mwenyekiti
  3. George Petro - Katibu
  4. Mtakatifu Benja - Naibu Katibu
  5. Amos Essau - Mweka Hazina 


Kwa Upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Bi Grace Quintine amesema kuwa Bodaboda wanaweza kupata mikopo ambayo itaweza kuwainua kiuchumi na kuwasaidia kiuchumi. Hata hivyo Bi.Grace amesema Mikopo na fursa nyinginezo, zitapatikana pale ambapo Bodaboda watasajiliwa na kutambulika. Sambamba na hilo OCD wa Wilaya ya Urambo amesisitiza Bodaboda kutii sheria za barabarani na kuvaa kofia ngumu zenye kioo na nguo nzito ili kulinda afya zao. Aidha DTO Bi. Mshaka alipata wasaa wa kutoa utaratibu wa kufuata ili kupata leseni, na kueleza kuwa kwa sasa unaandaliwa utaratibu mzuri ambao utawezesha Bodaboda Urambo kupata mafunzo pamoja na leseni. Pia amewataka Bodaboda kuendesha vyombo vya moto vilivyosajiliwa ili kuepusha kukamatwa kama Mhalifu wa pikipiki iliyoibiwa.


Aidha Mkuu wa Wilaya ya Urambo SACC. Bajuta pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo, wameahidi kushirikiana na Bodaboda katika matukio mbalimbali.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ASHIRIKIANA NA MAAFISA KUCHANGIA VIFAA VYA WANAFUNZI WA UMITASHUMTA NA UMISSETA

    May 13, 2025
  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.