• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Huzuni na Mshangao kwa Wadau wa Elimu Urambo

Siku iliyowekwa: February 11th, 2021


Na Edward C Rumanyika

Kikao cha kwanza mwaka 2021 cha  Wadau wa Elimu  kimefanyika leo 10 Jumatano, 2021 katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri ya wilaya ya Urambo  lengo kuu ikiwa ni kujadili changamoto za elimu wilayani Urambo

Katika hali hisiyotarajiwa na ya kushangaza, wadau wa Elimu Urambo wamehuzunishwa na taarifa ya mwitikio mdogo kwa wana Urambo wa kuchangamkia na kutumia fursa za elimu zinazopatikana na zinazotolewa bure katika vyuo vya VETA-URAMBO na FDC-URAMBO.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti; wakuu wa vyuo hivyo wameeleza kuwepo kwa nafasi  za wanafunzi 58 ufadhili wa Mhe. Magret Simwanza Sitta(MB)  Jimbo la Urambo katika chuo cha VETA-URAMBO na ufadhili wa Mfuko wa  Kukuza Ujuzi (Skill Development Fund-SDF) chini ya Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) katika mradi wa Uchomeleaji na Uungaji wa vyuma bure katika chuo cha FDC-URAMBO lakini kwa wilaya ya Urambo ni wanafunzi 8 tu waliojitokeza kujiunga na VETA-URAMBO na 15 kujiunga na FDC-URAMBO ingali gharama za masomo ni bure hali iliyowashangaza Wadau wa Elimu.

Akiongoza kikao hicho cha Wadau wa Elimu kutoka kila tasnia ndani ya wilaya ya Urambo , Katibu Tawala(W) Ndg. Paschael  Byemelwa aliwasilisha changamoto zinazoikabili sekta ya elimu na kutoa fulsa kwa wadau wa elimu kujadili, kuchangia na kupendekeza afua za utekelezaji wakati wa utatuzi wa hizo changamoto  katika Halmashauri ya Wilaya ya Urambo. "Kila mmoja wetu ajipime kulingana na hizi changamoto katika mazingira ulipotoka,  na apa tuko darasani kujifunza ili mwisho wa kikao hiki kila mmoja wetu aondoke na kitu ulichojifunza au cha kuiga kupitia darasa hili" alizungumza Ndg Byemelwa.

Awali  kaimu Afisa Elimu Msingi Ndg. Gambalala Suga na Afisa Elimu Sekondari  Bi Sara Nalogwa waliwasilisha taarifa za ufaulu wa mtihani wa upimaji wa darasa nne na kidato cha pili, 2020 na mtihani wa Taifa wa darasa la saba,   kidato cha nne na sita, 2020 na kusisitiza kuwepo kwa shule zinazofanya vizuri  katika mitihani ya kila mwaka na nyingine ufaulu wake siyo wa kuridhisha .

Aidha Mwenyekiti wa kikao cha wadau wa Elimu Ndg Byemelwa, ametoa zawadi na pongezi kwa shule zilizofanya vizuri  kwa mitihani ya mwaka 2020 na kutoa zawadi ya bendera nyeusi kwa shule zenye ufaulu usioridhisha ili ikawe chachu ya kupambana kuhakikisha wanafia kiwango cha ufaulishaji wa asilimia 80%.

Akihitimisha kikao hicho Ndg Byemelewa amewapongeza wadau wa Elimu Urambo kwa mawazo na yao  azuri na yenye tija katika kuhakikisha changamoto zilizo ndani ya uwezo wao zinapatiwa ufumbuzi ili kuweka mazingira rafiki ya upatikanaji wa elimu kwa kizazi cha leo na kijacho ndani  ya wilaya ya Urambo. Na pia amewataka wadau wa Elimu Urambo kupeleka ujumbe ngazi ya vijiji na kata  wa fursa za ufadhili zilizipo katika vyuo vya VETA-URAMBO na FDC-URAMBO ili jamii inufaike na uwepo wa fursa hizo.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ASHIRIKIANA NA MAAFISA KUCHANGIA VIFAA VYA WANAFUNZI WA UMITASHUMTA NA UMISSETA

    May 13, 2025
  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.