• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Itebulanda Kupata hati 2000 za Umiliki wa Ardhi

Siku iliyowekwa: May 30th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ametoa Hati 103 za umiliki wa ardhi za kimila ambazo hazina kikomo kwa wakazi wa Kijiji cha Itebulunda kata ya Nsenda wakati wa mkutano mkuu maalumu wa  kijiji ulifanyika katika viwanja vya ofisi ya kijiji cha Itebulanda kata ya Nsenda Mei 28,2018. Hadi kufikia Juni 10, 2018 jumla ya hati 2000 za umiliki wa ardhi zisizokuwa na ukomo zinatalajiwa kutolewa kwa wananchi wakazi wa kijiji cha Itebulanda.

Akizungumza na wananchi wa Itebulanda, amewaeleza umuhimu wa kuwa na hati hizo za kimila  zisizo kuwa na ukomo wa  umiliki wa ardhi na faida zake ikiwa ni pamoja na kuongeza thamani ya ardhi, kuwaongezea fursa ya  kukopa kwa kuwa hati  hizo zinatambulika  katika taasisi mbalimbali ikiwemo benki, na uwezekano  wa kubadilisha ardhi na vitu vingine vya thamani.

Amewasihi kutumia muda mchache uliosalia kuhakikisha wanautumia vizuri kwa kukamilisha taratibu zote za umilikishwaji wa ardhi kwa kuwapatia taarifa muhimu wataalamu wa zoezi hilo. "Itebulanda amkeni na karibu Duniani, tambueni thamani ya ardhi mliyoikalia kwa kupima na kupatiwa hati ya ardhi yenu. Mwenye maskio na askie" alisema mkuu wa mkoa wa Tabora.

Awali akitoa taarifa ya zoezi hilo liloanza Mei 02, 2018 Ndg Jobu Kiungo mratibu wa mradi wa MiomboLands kanda ya Magharibi alisema kutokana na umuhimu wa zoezi hilo, ameongeza muda wa siku 10 zaidi kutoka tarhe 30.05.2018 hadi Juni 10, 2018, ili kuhakikisha wakazi wote wa kijiji cha Itebulanda walionyesha nia ya kupewa hati za umiliki wa ardhi wananufaika kwani ni la kipekee na halijawahi tokea, hati za umiliki wa ardhi zisizokuwa na kikomo zaidi ya 1500 kutolewa kwa mkupuo.

Akiongea kwa niaba ya wananchi wakazi wa kijiji cha Itebulanda, Ndg Erasto Mahona ambaye pia ni Mhe. Diwani wa kata ya Nsenda alitoa shukulani za kipekee kwa  mradi wa MiomboLands kwa kuwajali na kuwapa kipaumbele cha kuwa wa kwanza katika mkoa wa Tabora na akawasihi wananchi wenzake watumie nafasi hii ya kipekee kuhakikisha wanapatiwa hati miliki za ardhi yao ili kuondokana na migogoro ya mipaka ambayo inaweza jitokeza siku za usoni.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI URAMBO ASHIRIKIANA NA MAAFISA KUCHANGIA VIFAA VYA WANAFUNZI WA UMITASHUMTA NA UMISSETA

    May 13, 2025
  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.