• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Mama Samia awatua ndoo kichwani wakazi wa Ifuta

Siku iliyowekwa: June 12th, 2024

“Niwaombe sana Muilinde Miradi hii ya Maji, Serikali inatumia Fedha nyingi kuleta Mradi Mkubwa kama huu wa maji” Maneno hayo yamezungumzwa na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Paul Matiko Chacha alipotembelea Wilaya ya Urambo kwa ajili ya kufanya Ziara pamoja na Uzinduzi wa Miradi ya Maji.

Mkuu wa mkoa ametembelea mradi wa Bwawa la maji la Kalemela A ambapo amepewa taarifa ya Mradi kutoka kwa Meneja wa Ruwasa Wilayani Urambo Ndg. Gendai ambaye ameeleza kuwa mradi huo umegharimu Zaidi ya bilioni 5 na unatarajia kuhudumia wananchi wa Vijiji 17 katika Wilaya ya Urambo ambao ni Zaidi ya wananchi 148,000 na hali ya Mradi kwa sasa ni asilimia 55. Aidha ndg. Gendai amemueleza Mkuu wa Mkoa hatua zote walizopitia katika ujenzi wa Mradi huo.

Aidha Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Paul Chacha, amewapongeza RUWASA kwa juhudi wanazozifanya katika kutatua kero ya maji kwa wananchi wa Wilaya ya Urambo na anaona kufikia mwisho wa mwaka huu tatizo la maji Urambo litaweza kupungua kwa kiasi kikubwa.

Aidha wananchi wa Kijiji cha Kalemela “A” Wameshukuru uongozi wa Wilaya, Mkoa pamoja na Mhe. Rais kwa juhudi wanazozifanya kuhakikisha maendeleo yanapatikana Urambo hasa kwa kutatua changamoto ya upatikanaji wa maji safi na Salama kwa ajili ya matumizi ya Binadamu.

Aidha Mkuu wa Mkoa wa Tabora aliweza kuzindua Mradi wa maji katika kijiji cha Ifuta ambao umekamilika na Wananchi wameanza kupata huduma katika mradi huo. Mradi wa maji katika Kijiji cha Ifuta una thamani ya zaidi ya milioni 300 na ni moja kati ya Miradi ya kisasa uliojengwa kwa maelekezo ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambapo wananchi huchota maji kwa kutumia kadi zao.

Aidha Mhe. Mkuu wa mkoa wa Tabora pamoja na Uongozi wa Wilaya ulishuhudia Makabidhiano ya mradi huo kutoka katika upande wa RUWASA kwenda kwa mamlaka ya kijiji cha Ifuta.

Sambamba na hilo, Mhe. Paul Chaha amesisitiza wananchi kuepuka ukatili kwa Watoto na kuacha Watoto wasome. Aliendelea kusisitiza kuwa , katika jamii inapobainika kuna mtu anafanya Vitendo hivyo afikishwe kwenye vyombo vya Ulinzi na Usalama.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Paul Matiko Chacha amewasisitiza wananchi kujitokeza kwa Wingi katika zoezi la kuboresha daftari la kudumu la Wapiga Kura kwani ni haki ya kila Mtanzania mwenye vigezo vya kupiga kura kushiriki.

Aidha wananchi wa kijiji cha Ifuta wamemshukuru Mhe. Rais kwa juhudi zake za kumtua mama ndoo kichwani kwani kupitia Mradi huo wa maji, Wakazi wa Kijiji cha Ifuta wananufaika na kuacha kutembea umbali mrefu kufuata maji pamoja na kutumia maji yasiyo safi na Salama.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • URAMBO YAFANIKISHA KIKAO CHAKE CHA KWANZA KUPITIA E-BOARD

    April 17, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.