• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Mkuu wa Wilaya Urambo Afanya Ziara ya Kukagua Miradi Katani Imalakoye

Siku iliyowekwa: November 6th, 2023

Kamishina Msaidizi Mhe. Elibariki Bajuta Mkuu wa wilaya Urambo akiambatana na baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya, Mkurugenzi Mtendaji(W) Urambo  na baadhi ya Wataalamu ametembelea na kukagua ujenzi wa Zahanati na shule katika  kijiji cha Imamakoye leo Novemba 6, 2023 na kubaini ya kuwepo viashiria vyakutumia fedha za umma bila ya kuzingatia Sheria, kanuni na taratibu.

Mhe. Bajuta ameshangazwa kusikia jumla ya Tsh 90 milioni zimetolewa kwa awamu tatu (milioni 40 mara mbili kisha 10 milioni) na Serikali lakini ujenzi wa zahanati  hiyo ulioanza mwaka 2014 hadi leo bado haujakamilika na fedha zaidi imeendelea kutolewa kwenye akauti ya maendeleo ya kata licha ya awali ofisi ya mkuu wa wilaya  kuzuia matumizi ya fedha hizo.

Pia Mhe. Bajuta ametembelea mradi wa ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa na ofisi  ya walimu ambapo mradi umesha gharimu takribani Tsh 7,640,000 na umeanza kujengwa tangu mwaka 2022  lakini hamna Kamati ya Usimamizi katika mradi huo.

Mhe.Bajuta amemwagiza Mkurugenzi Mtedaji(W) Urambo kuhakikisha anajiridhisha na ukubwa wa eneo la  ujenzi unaondelea wa shule kama linakidhi vigezo ikiwa ni pamoja na kuongeza miundombinu mingine na ipate sifa za kusajiriwa na Serikali, vinginevyo ujenzi usimamishe haraka iwezekanavyo.

"Mimi napenda nione matokeo ya fedha ya umma imefanya nini, nataka nione zahati inafanya kazi, shule inafanya kazi, hivyo ntoe rahi kwa viongozi wa serikali ya kijiji na kata mliopo hapa, kazi yenu ni kusimamia watendaji hawa wafanye kazi ikiwemo kusimamia miradi ya maendeleo na siyo na nyie mfanye kazi ya kujenga hapo hatutaelewana"  amesema Mhe. Bajuta.

Aidha ameagiza ofisi ya TAKUKURU Urambo kufanya ufatiliaji  wa  haraka na kina kwenye ujenzi wa zahanati na shule ili kubaini kama taratibu za matumizi ya fedha za umma umezingatiwa na kusisitiza ya kuwa atawachulia hatua wale wote watakaobanika walishiriki kwa namna moja au nyingine.  

 

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • URAMBO YAFANIKISHA KIKAO CHAKE CHA KWANZA KUPITIA E-BOARD

    April 17, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.