• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

SACC Bajuta amkabidhi ofisi Dkt. Mkanachi

Siku iliyowekwa: June 10th, 2024

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Urambo Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Uhifadhi Elibariki Bajuta amefanya makabidhiano ya ofisi kwa Mkuu wa Wilaya ya Urambo aliyeteuliwa hivi karibuni Dkt. Khamis Athumani Mkanachi. Zoezi hilo limefanyika katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya na kumaliziwa na hafla ya Kumuaga SACC Elibariki Bajuta na kumkaribisha Dkt. Khamis Athumani Mkanachi.

Sambamba na tukio hilo la makabidhiano ya ofisi, Watumishi wa Halmashauri ya Urambo, madiwani, wafanyabiashara, Watumishi kutoka Taasisi za Serikali na zisizo za kiserikali pamoja na wadau mbalimbali walijumuika pamoja katika Hafla maalumu ya kumuaga aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Urambo Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Uhifadhi Elibariki Bajuta na kumkaribisha Mkuu wa Wilaya ya Urambo Dkt. Khamis Athumani Mkanachi. 

Aidha katika hafla hiyo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Bi. Grace Quintine kwa niaba ya Watumishi amemshukuru SACC Bajuta kwa muda wote aliokuwepo katika Wilaya ya Urambo kwani ameisaidia sana kati shughuli mbali mbali hasa Miradi ya Maendeleo na ukusanyaji wa mapato. Bi. Quintine ameendelea kusema kuwa anamtakia maisha mema na nafasi ya juu zaidi kwani Mhe. Rais atampangia majukumu mengine.

Aidha, SACC Bajuta amewashukuru wote kwa namna ambavyo walishirikiana naye katika shughuli mbalimbali wakati wa utumishi wake kama Mkuu wa Wilaya ya Urambo na kusisitiza kuwa ushirikiano ambao wameutoa kwake wautoe pia kwa Mkuu mpya wa Wilaya. SACC Bajuta amewashukuru kwa kipekee watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo kwa kushirikiana naye katika shughuli mbalimbali.

Mkuu mpya wa Wilaya ya Urambo Dkt. Khamis Athumani Mkanachi amewashukuru watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo kwa mapokezi aliyoyapata na kuwashukuru wote waliohudhuria katika hafla hiyo kwa ajili ya kumuaga SACC. Bajuta na kumkaribisha yeye. Aidha amemuahidi SACC Bajuta kuwa atayaishi yote mazuri aliyoyafanya kwa ajili ya Wanaurambo. Dkt. Mkanachi ameomba ushirikiano ili kuweza kusukuma gurudumu la maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Urambo.

Aidha watumishi na wadau mbalimbali waliweza kuzungumza ni kwa namna gani walimfahamu SACC. Bajuta na kufanya naye kazi, ambapo wengi walimtaja kama mchapakazi, msikivu na mtenda haki huku wakitamani afike mbali zaidi ya nafasi aliyokuwa nayo.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ONE STOP CENTER KUWA MWAROBAINI WA MATUKIO YA UKATILI WA KIJINSIA URAMBO.

    June 25, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI H/W URAMBO

    June 23, 2025
  • MADIWANI URAMBO WAAGWA

    June 20, 2025
  • WANANCHI WA KATA YA UGALA WAUPOKEA KWA MIKONO MIWILI MRADI WA KITUO CHA AFYA

    June 18, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.